MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Habari Wandugu nilimsikiliza jana PM akiwa anafoka kuhusu mitandao yakijamii na kuiagiza TCRA ichunguze , sasa swali je wao wanapo tuletea sheria za kutukwaza wanafikiri sisi siyo binadamu au ni miti na sisi tunaumia kama wao wanavyoumia na comments za mitandao conclusion badilisheni hiyo sheria kuanzia FAO LA KUJITOA SEKTA BINAFSI maana hapa hata mimi imeniumiza sana MOYONI nilitegemea kujenga nyumba baada ya mkataba wangu kazini kwisha nikaambiwa nitapewa 33% ndio fao la kukosa ajira
naulizwa na mwanangu lini nitamalizia kujenga nyumba yetu naishia kumfikiria aliesaini hiyo sheria, HATA SISI TUNAKWAZIKA PIA.
naulizwa na mwanangu lini nitamalizia kujenga nyumba yetu naishia kumfikiria aliesaini hiyo sheria, HATA SISI TUNAKWAZIKA PIA.