Plz Nisaidieni

Plz Nisaidieni

Mandela T HD

Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
14
Reaction score
4
Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa
 
Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa

Umeuziwa rudisha tuu kwa huyo mliyemwibia iPhone ikishakua na sifa ya kuibwa huwa Haiuziki wa kutumika tena.
 
Ww sema huwezi kuna kitu kinashindikana acha wanaojua wachangie mada
 
Back
Top Bottom