Mandela T HD
Member
- Oct 22, 2015
- 14
- 4
Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa
Ni simu ya wizi......?.....
Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa
Mshikaji kaniletea ndugu kapewa zawadi ila lock ndio shida