Mm ni msichana miaka 26 nina mpenzi ana miaka 28 tunauhusiano kama miezi minne tulizoea kuchat sana kwa njia ya message so kuna siku nikakosea kutuma text. hiyo message nilitaka kumtumia rafiki yangu kuwa namtakia maisha mema nikakosea nikamtumia mpenzi wangu tangu siku hiyo nikimpigia simu hapokei leo siku ya tano. kwa sababu hapokei simu nimemuomba msamaha kwa kutumia maneno mbalimbali kama message 100 haonyeshi dalili za kunisamehe. naomba ushauri nifanyeje