Plumbing ya kisasa katika nyumba

Plumbing ya kisasa katika nyumba

kikaniki

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
508
Reaction score
979
WanaJf, salaam!

Hivi nyumba iliyofanyiwa plumbing ya kisasa kabisa inatakiwa iwe na vitu gani? Kuanzia jikoni hadi master bedroom. Kwa nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu vya kulala, dinning, sitting, jiko na Choo/bafu la jumuiya.

Inaweza kunigharimu kiasi cha bei gani kufanya plumbing ikiwa ni bei ya vifaa na ufundi?
 
andaa milioni na nusu!! kwa lapsha lapsha milioni...
 
Ukiwa tayari niite nije nikupigie hesabu make hili ni suala la kiufundi zaidi! atakae kupigia hesabu humu hajafika kwenye nyuma yenyewe anakudanganya mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom