"am very sorry"target ni msisitizo ktk bei,soon nitaanzisha thread ya hii ya kwangu niangalie power ya JF ikoje.Duh haya kaka naona umeamua kutumia platform yangu
Bei ni milioni 950
we usiwe mtu asiye elewa, #Kingkong amefanya hivyo ili wewe utaje bei maana matangazo yote ya biashara lazima uweke bei, sasa unakaa hapa kutujazia saver unataka tuelewane..tunaelewana nini???
Anuaza 8m na nishaichukua kwa oder kesho naenda kulipa nlimpigia kupitia namba yake so biz closed
Umeongea na nani wewe....
Hebu tupunguze masikhara kwenye ishu serious