Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Ona sasa kuna wakati fulani watu walisema mke bora ni mwalimu! Kiujumla mapenzi ya mbali ni taabu sana, kuna mtu humu jamii forum majuzi amelalamika serikali kawahamisha watumishi wake kiasi cha kuwatenganisha na wenza wao, inauma.
Ushauri: Huyo bado si mke anakufanyia hivyo, achana nae.
Ushauri: Huyo bado si mke anakufanyia hivyo, achana nae.