WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Mkuu anza taratibu, usikimbilie kumtoa out wakati hajakuzoea kivileeee. Anza taratibu, nunua hata machungwa ukinunua matano mpe moja huku ukimwambia kiutani "afya kwanza" nimetolea mfano tu, Lol. Najua wewe ni mjanja utaelewa. Harafu kumbe ulishafika mbaaali hadi ushajua hadi kazi, anatoka wapi, umri na hadi kaka yake (unauhakika ni kaka yake kweli - just kidding anyway). Kuwa na makini pengine hujampenda ila umemtamani binti wa watu akishakupa unaanza kujilaumu Hahahahah!!saafi sana!
Yeye ni muha,mwenyeji wa kigoma!
Kazi yake ni mwalimu wa shule za watoto[nursery school teacher].
Ana kati ya miaka 19-22. Wazazi wake wote wanaishi huko huko Kigoma. Labda ni mara chache anatembelewa na kaka yake,ambaye pia ni mlokole. Tena kaka yake akijaga basi ndio mapambio ndani huzid,wakija kulala wanaimba sana na kuomba sana! Ila kaka'ke anaporudi kwao,kidogo ile hali ya mapambio kwa mdada hupungua,na kuonekana mchangamfu tofauti na anavyokuwa na kaka'ke.
Lakn ndugu,atakubali kutoka out? Make ndo hvo,full ulokole!