Platnum Credit wanidhulumu

Hahaaa never ever mkuu. Wale jamaa ni wezi sana. Bank zote za aina yao siwezi kopa. Platnum, Maboto, sijui faidika, nufaika wote hao ni wezi wakubwa
Kweli kabisa wale ni majambazi

Ova
 
Hahaaa never ever mkuu. Wale jamaa ni wezi sana. Bank zote za aina yao siwezi kopa. Platnum, Maboto, sijui faidika, nufaika wote hao ni wezi wakubwa

Hizi takataka wanawaumiza sana ndugu zetu na waalimu wakiwemo!
 
kuna hatua uliruka wakati unataka kuclear deni lako ndio maana umepata changamoto nenda makao makuu yao mtafute mtu anaitwa juliasi atakusaidia niliwahi kuwa na changamoto kama hiyo yako iliisha lakini
 
Hiyo laki 6 ni bora ungekopa kwa mtu
 
Nenda kwa afisa Utumishi wako wataandikiwa barua waje na wewe uwe na vielelezo vyote baada ya hapo ni mahakamani watalipa hela yote walio kukata ila kama uli top kesi nyingine hiyo
Naunga hoja
 
Kazi ya benki kuu ni Nini hizo tasis za mafisadi zinaachiwa ziwaibie wananchi kwa mikataba ya kilaghai

Nani wa kuigusa mfano bayport wakati wamiliki wana vinasaba na wastaafu wa magogoni!
 
BOT Kuna kitengo cha malalamiko dhidi ya taasisi za kifedha. Ila Hao Jamaal ni matapeli mno
 
Kwa platinum sishauri akakope. Nilikopa 3m nikaja kurudisha 6m. Yaani kwa kifupi ni matapeli wakubwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…