Mazungumzo baina ya JK na CDM yamepangwa kufanyika wiki ijayo kati ya jumatano hadi Ijumaa. JK anaweza kuhahirisha ku-assent muswada huo baada ya kukutana na CDM, baadaye NCCR, CUF na CCM. Maazimio ya NEC kuhusu kukutana na vyama vyote umekubaliwa na JK. Tayari, Salva ameagizwa kutoa mwaliko tamko kwa umma kwa chama chochote kinachotaka kukutana na JK kabla muswada haujawa assented.
Hata hivyo, licha ya hoja hizo, JK atasaini muswada huo kwa sababu anaogopa kuingia katika mgogoro wa wazi na wabunge wa CCM walioupitisha kwa kishindo.
NINI PLAN B KWA CDM:
Katika Kikao cha Kamati Kuu ya CDM kilichoketi Dar es Salaam - Viongozi wa CDM walisema kuwa JK akikataa - Plan B itakuwa ni maandamano yasiyokuwa na ukomo kupinga muswada huo kuwa sheria. Msimamo huo tayari umeungwa mkono na Mbowe na Dr. Slaa.
NINI PLAN B KWA CCM:
Katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoketi Dodoma- wajumbe waliona hatari ya CDM pekee yao kukutana na JK, badala yake iwe ni kwa vyama vyote vya kisiasa angalau vyenye uwakilishi Bungeni ili kupunguza nguvu za hoja za CDM.
NINI PLAN B KWA JUKWAA LA KATIBA:
Miongoni mwa hofu kubwa sana kwa CCM ni Jukwaa la Katiba na CDM. katika kikao cha CC - CCM, wameitaka vyombo vya usalama kutoruhusu maandamano yoyote ya wanaharakati au CDM. Hayo yalibainishwa wazi na Mkama. Tayari jana jeshi la Polisi limeyazuia maandamano hayo kwa hoja ya fujo na ghasia kutokea.
NINI PLAN C: tunasubiria.
Hata hivyo, licha ya hoja hizo, JK atasaini muswada huo kwa sababu anaogopa kuingia katika mgogoro wa wazi na wabunge wa CCM walioupitisha kwa kishindo.
NINI PLAN B KWA CDM:
Katika Kikao cha Kamati Kuu ya CDM kilichoketi Dar es Salaam - Viongozi wa CDM walisema kuwa JK akikataa - Plan B itakuwa ni maandamano yasiyokuwa na ukomo kupinga muswada huo kuwa sheria. Msimamo huo tayari umeungwa mkono na Mbowe na Dr. Slaa.
NINI PLAN B KWA CCM:
Katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoketi Dodoma- wajumbe waliona hatari ya CDM pekee yao kukutana na JK, badala yake iwe ni kwa vyama vyote vya kisiasa angalau vyenye uwakilishi Bungeni ili kupunguza nguvu za hoja za CDM.
NINI PLAN B KWA JUKWAA LA KATIBA:
Miongoni mwa hofu kubwa sana kwa CCM ni Jukwaa la Katiba na CDM. katika kikao cha CC - CCM, wameitaka vyombo vya usalama kutoruhusu maandamano yoyote ya wanaharakati au CDM. Hayo yalibainishwa wazi na Mkama. Tayari jana jeshi la Polisi limeyazuia maandamano hayo kwa hoja ya fujo na ghasia kutokea.
NINI PLAN C: tunasubiria.