PITIA KWANZA HAPA...........ujifunze


Cc: watu8
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unaweza sana tunga story kawaokoe wasanii wa filamu wa kibongo manake toka kanumba atangulie mbele ya haki story ni za kitoto xana story yako imesimama mbaya mtafute mtitu!
 
Hata mi nilijua tu umetungaa...., maana uko mwananyamala ndio viwanja vyangu sijawai kumsikia Irene. Ila ASANTE Umenifumbua macho
 
Aaagh! Afu ukimwi bhana! Sehemu zote za kukaa haujapaona ila kwenye mbunye!!!!!
Hii si bure!
Na Ukimwi ni Adhabu sio maradhi!
Kwanini usipatikane katika miti, majabali or baharini??????

nimecheka jaman cna mbavu mtt wa watu!!!!!
 
duuuuu! hiyo zawadi mkuu mbona kama siielewielewi vile

Tehe tehe tehe teheTehe tehe tehe tehe Tehe tehe tehe teheTehe tehe tehe teheTehe tehe tehe teheTehe tehe tehe tehe,mbavu sasa hivi zinaniuma maana nimecheka sana
 
sijasoma.
Nimeishia heading tu.
Mwandiko wako mbaya, hakuna punctuation wala naniliu.
maneno yamejazana kama mechi ya simba na libolo uwanja wa taifa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…