Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Wadau humu naona wanachanganya kati ya maneno ambayo yamebaki katika asili yake ya kiingereza na yale ambayo tanzania imeyatohoa na kuyatamka kwa kiswahili...nazani mleta mada anakusudia haya ambayo bado yapo kwenye lugha yake ya asili ya kiingereza halafu watu wanayakosea katika matamshi na si yale ambayo yametoholewa na kuwa sehemu ya lugha ya kiswahili,na hivyo si makosa kuyatamka kwa kiswahili. eg
Radiator=rejeta
Commission=kamisheni
chimney=chemli
frying pan=flampeni
video=video (kwa sauti ya kizaramo)
Uko sahihi sana, lakni kuna baadhi naamini bado hatujaelewa na badala yake tunaelekea kwenye maneno ambayo ni ya kiingereza halisi ambayo yapo kwenye kiingereza cha kimarekani
 
Simu badala ya mobile phone(SIM ni chip)

Hapa kwenye simu=mobile phone nazani ni chaka...maana hilo neno ni neno rasmi la kiswahili lenye maana ya kifaa cha mawasiliano,tuna simu za mkononi,mezani,upepo na simu za barua! kwa hiyo neno "sim" (simu) kwa maana ya chip kwa kiswahili limebeba kila kitu ikiwemo hiyo device yenyewe(mobile phone)

Show time badala ya short time(Guest)

hapo kwenye short time = show time...hawakosei sema wewe uliyeandika ndo umekosea kwa kuzani wanamaanisha hiyo "show" kinachofanyika katika hilo neno ni kwamba watamkaji wanadrop tu letter "t" ya mwanzo coz kimatamshi inabebwa na letter "t" ya pili kwenye neno time...hii katika lugha ya kiingereza inakubalika kabisa I think wanita connected speech/words (am not sure)
 
Jifti badala ya gift
hii wabongo wengi wanakoseaga kwa kweli na ni wengi mno saa nyengine hadi maprofesa utasikia eti "jifti"...hata ukimsikiliza diamond kwenye wimbo wa Eneka utasikia katamka jifti badala ya gift...it is ridiculous!
 
1, imezoeleka lakini inatumika na BrE ndio sahihi lakini AmE ni rasket
Kwanza tuanze kuwa kitu chenyewe ni lile begi linaloweza kubebwa mgongoni kwa mikanda yake. Sasa jina la rack sack ndio jina lake na sukutunga mimi, American or British. Hiyo rasket ni kitu kingine kabisa tofauti kabisa. Tumiaga hata google basi!?!?
 
Kwanza tuanze kuwa kitu chenyewe ni lile begi linaloweza kubebwa mgongoni kwa mikanda yake. Sasa jina la rack sack ndio jina lake na sukutunga mimi, American or British. Hiyo rasket ni kitu kingine kabisa tofauti kabisa. Tumiaga hata google basi!?!?
Naelewa yote hayo, soma kichwa cha uzi.
"Maneno ya kiingereza tunayotamka kimakosa"
Chimney = Chemuli
John walker = Joni woka
 
Zote 2 ziko sahihi
1. number plate
noun
British
noun: number plate; plural noun: number plates; noun: numberplate; plural noun: numberplates
  1. a sign affixed to the front and rear of a vehicle displaying its registration number.

2. plate number
noun
noun: plate number; plural noun: plate numbers
  1. a serial number in the margin of a plate from which postage stamps are printed.
Contextually, nlikuwa namaanisha namba za kwenye magari km maana kwenye 3 inavyoonesha na sio serial no km namba 4 yako inavyoonesha. Mf mtu anatangaza "gari yenye plate number ... badala ya kusema yenye namba plate ...."

Sent from my SM-A700K using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom