Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 3,508
- 4,555
kuna kitu kinaitwa phonology ni science inayozungumzia utamshi wa maneno ya kiingereza na kuna tofauti kati alphabets na sounds kwa mfano hilo alphabet "G" kwenye baadhi ya maneno inakua hivohivo mfno goal..ila kwenye gift ..inatamkwa tofauti...gift, geography.... angalia haya maneno goal, god ,gunLahaja inaaingiaje hapo hebu nieleze kuna lahaja kadhaa za English na zote zinatamka gift sio jift