Pita hapa tafadhali; ninahitaji msaada wako

Pita hapa tafadhali; ninahitaji msaada wako

Joined
Oct 27, 2012
Posts
62
Reaction score
19
Habarini Wakuu,
Mimi ni kijana, 23, ninayetaraji kuhitimu elimu yangu ya chuo kikuu ngazi ya Shahada hivi karibuni (BA English). Lakini Nina walakini kidogo kiasi cha kuhitaji msaada wenu.

Masomo yangu yanafadhiliwa na HESLB kwa asilimia zote (100%), lakini nimekuwa mmoja wa wahanga wasiolipiwa ada ya mwaka mzima kwa mwaka wa masomo 2012/2013.

Ufuatiliaji haujazaa matunda yoyote hadi sasa na taarifa iliyopo ni kwamba transcript haitatolewa kwa ambaye ana deni ama la bodi au binafsi. Kwa maana ya kwamba ninatakiwa kuilipa mimi binafsi.

Sina pesa wala chanzo chake kwa sasa. Ninamaliza mwezi July nikiwa kama Form VI leaver tu, kwa minajiri hiyo.

Akili yangu kwa sasa in kutafuta hata tempo au contract work japo kwa mwaka au miwili niweze kujilipia chuoni. Sasa ninaomba sana msaada wa connection kuanzia sasa.

Ninaweza kufanya Writing, editing and proofreading, Translation, Interpretation (English to Kiswahili), Photography, TV Production na Graphic Design (vyote nimesomea darasani).

Msaada wenu tafadhali

Ni PM, tutaongea. Utakuwa umenisaidia sana.

Email: manpeters@ymail.com
0652768822
 
Sasa unaomba kz au umekosa ada?
 
Ninaomba Nazi itakayonifanya niweze kujilipia ada Mkuu Idd
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kutoa Maelezo ya kujitosheleza watu watakusaidia ushauri kuhusu helsb ilitokea nn na umefuatilia had hatua ipi
 
Habarini Wakuu,
Mimi ni kijana, 23, ninayetaraji kuhitimu elimu yangu ya chuo kikuu ngazi ya Shahada hivi karibuni (BA English). Lakini Nina walakini kidogo kiasi cha kuhitaji msaada wenu.

Masomo yangu yanafadhiliwa na HESLB kwa asilimia zote (100%), lakini nimekuwa mmoja wa wahanga wasiolipiwa ada ya mwaka mzima kwa mwaka wa masomo 2012/2013.

Ufuatiliaji haujazaa matunda yoyote hadi sasa na taarifa iliyopo ni kwamba transcript haitatolewa kwa ambaye ana deni ama la bodi au binafsi. Kwa maana ya kwamba ninatakiwa kuilipa mimi binafsi.

Sina pesa wala chanzo chake kwa sasa. Ninamaliza mwezi July nikiwa kama Form VI leaver tu, kwa minajiri hiyo.

Akili yangu kwa sasa in kutafuta hata tempo au contract work japo kwa mwaka au miwili niweze kujilipia chuoni. Sasa ninaomba sana msaada wa connection kuanzia sasa.

Ninaweza kufanya Writing, editing and proofreading, Translation, Interpretation (English to Kiswahili), Photography, TV Production na Graphic Design (vyote nimesomea darasani).

Msaada wenu tafadhali

Ni PM, tutaongea. Utakuwa umenisaidia sana.

Email: manpeters@ymail.com
0652768822
Uwezo wako katika hizo skills hasa translation ni wa kiwango gani? Na umejiandaa kufanyia kazi ujuzi upi hasa utakapoingia mtaani? Umeshachunguza soko lake? Unaona matumaini ukiwekeza nguvu zako huko?
 
Habarini Wakuu,
Mimi ni kijana, 23, ninayetaraji kuhitimu elimu yangu ya chuo kikuu ngazi ya Shahada hivi karibuni (BA English). Lakini Nina walakini kidogo kiasi cha kuhitaji msaada wenu.

Masomo yangu yanafadhiliwa na HESLB kwa asilimia zote (100%), lakini nimekuwa mmoja wa wahanga wasiolipiwa ada ya mwaka mzima kwa mwaka wa masomo 2012/2013.

Ufuatiliaji haujazaa matunda yoyote hadi sasa na taarifa iliyopo ni kwamba transcript haitatolewa kwa ambaye ana deni ama la bodi au binafsi. Kwa maana ya kwamba ninatakiwa kuilipa mimi binafsi.

Sina pesa wala chanzo chake kwa sasa. Ninamaliza mwezi July nikiwa kama Form VI leaver tu, kwa minajiri hiyo.

Akili yangu kwa sasa in kutafuta hata tempo au contract work japo kwa mwaka au miwili niweze kujilipia chuoni. Sasa ninaomba sana msaada wa connection kuanzia sasa.

Ninaweza kufanya Writing, editing and proofreading, Translation, Interpretation (English to Kiswahili), Photography, TV Production na Graphic Design (vyote nimesomea darasani).

Msaada wenu tafadhali

Ni PM, tutaongea. Utakuwa umenisaidia sana.

Email: manpeters@ymail.com
0652768822

Urgent: We need Swahili to English translators
DAMAX solutions is working on a SMALL reproductive and Child health project assessment.

we conducted Indepth Interviews and Focus Group Discussions. They are already transcribed verbatim. the remuneration pay is as follows:

  • 20 pages and below Tsh 40,000/=
  • pages 21-25 Tsh 45,000/=
  • pages 26-30 Tsh 50,000/=
  • above 30 pages (but below 40) Tsh 60,000/=


Qualification: minimum degree with good experience in translation from Swahili to English. Should have good written English. Knowledge and experience of working on health and reproductive health is added advantage

Please send application email and CV to damax@gmx.com please indicate "TRANSLATOR application" in title page.

Thanks
 
Back
Top Bottom