Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,914
- 14,619
Pancakes na crepes pia rahisi kutengeza...
Soup ya samaki unachemsha samaki unaweka garlic chumvi na saumu then unaweka mixed vegetable ya njegere,mahindi machanga na karot then ukikaribia kuwiva unaweka ndimu....
Njaa ikinibana sana nakata salad kamili then naweka tuna fish wa kopo then juu naweka ketchup na pilipili ya kusaga
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Pancakes na crepes pia rahisi kutengeza...
Soup ya samaki unachemsha samaki unaweka garlic chumvi na saumu then unaweka mixed vegetable ya njegere,mahindi machanga na karot then ukikaribia kuwiva unaweka ndimu....
Njaa ikinibana sana nakata salad kamili then naweka tuna fish wa kopo then juu naweka ketchup na pilipili ya kusaga
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kuna hii mikate nimekula sehemu jana nikatamani sana kujua kumeki
Ni mkate wenye sandwich ya scrumbled eggs, butter, cheese, some salads, na mingine hivi ilikuwa na chicken na ham slices! Ikatolewa kwenye friji ndio tukaila. Safi yani loh, iko na shape ya triangle, hivi wanafanyeje?
Mkuu hauongelei chicken hotdog hapo...
Kwa akili yangu ya chap tu
Unachukua mkate au tuseme skonzi hata ya raundi au triangle unakata katikati, unakata saladi yako safi tu...chukua mayai yako either kaanga na kuchanganya na saladi kidogo au pekeyake then chukua nyama ya kuku isage na then mchanganyiko wote unauweka katikati ya mikate na kuifunika !! Chukua hiyo mixer then weka kwenye oven ipate moto....
Waweza kula kwa pilipili ukishushia na kinywaji...
Sijui kama nipo sahihi kwa maelezo yangu ila nadhani hzo ndio contents zake.
farkhina anaweza kutusaidia hapa!!!
tehe tehe, yani umeambiwa useme chakula cha kibachelor we una-complicate
Asante sana, yani mapishi haya bwana
inaonekana ni muhimu ni msosi gani wa fasta kupikaThread hii ina msaada mkubwa sana kwangu!
tehe tehe, yani umeambiwa useme chakula cha kibachelor we una-complicate
Thread hii ina msaada mkubwa sana kwangu!
Supu ya nyama:
Unakata nyama robo kilo into boxes unaiweka chumvi,pilipili manga na kitunguu saumu,unaikaanga kwenye mafuta kama 5 minutes kicha unaweka mchanganyiko wa mbogamboga kama carrot,viazi na leek vilivyokatwa into boxes unaacha vikaangike 5minutes kisha unaweka maji yazibe ule mchanganyiko wako na unafunika viive.Mwisho unamaliza na parsley.
Unaweza kutumia kuku ukipenda lakini huwa natumia timian na laurylleaf kuongeza ladha.
View attachment 149305
Supu inaliwa na mkate.
Nyama na mbogamboga
Nyama robo kilo unakata into boats,unaiweka chumvi,pilipili manga,kitunguu saumu na soyasauce.Unaikaanga kwenye frying pan kama kwa dakika 5,Unaweka mchanganyiko wa mbogamboga tofauti kama baby beans,baby carrots na baby corns au vingenevyo kaanga kama dakika 10,Msosi tayari kwa kuliwa..
View attachment 149306 View attachment 149308
Napenda kula chakula hiki na wali pamoja na sweetchili sauce!
Thread hii ina msaada mkubwa sana kwangu!
Ha ha ha kumbe hujaacha tu....nimekuwekea na pweza lol :eyebrows:Shosti mate yamenitoka.....na lile biriani lako na maandazi nimekumbuka
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Supu ya nyama:
Unakata nyama robo kilo into boxes unaiweka chumvi,pilipili manga na kitunguu saumu,unaikaanga kwenye mafuta kama 5 minutes kicha unaweka mchanganyiko wa mbogamboga kama carrot,viazi na leek vilivyokatwa into boxes unaacha vikaangike 5minutes kisha unaweka maji yazibe ule mchanganyiko wako na unafunika viive.Mwisho unamaliza na parsley.
Unaweza kutumia kuku ukipenda lakini huwa natumia timian na laurylleaf kuongeza ladha.
View attachment 149305
Supu inaliwa na mkate.
Nyama na mbogamboga
Nyama robo kilo unakata into boats,unaiweka chumvi,pilipili manga,kitunguu saumu na soyasauce.Unaikaanga kwenye frying pan kama kwa dakika 5,Unaweka mchanganyiko wa mbogamboga tofauti kama baby beans,baby carrots na baby corns au vingenevyo kaanga kama dakika 10,Msosi tayari kwa kuliwa..
View attachment 149306 View attachment 149308
Napenda kula chakula hiki na wali pamoja na sweetchili sauce!
Octopus salad:
Unamtayarisha pweza na kumkata slices,Unamuweka chumvi,pilipili na ndimu na kumkaanga kwenye fryingpan na mafuta kama dakika kumi.Wakati pweza anaiva una katakata salad,pilipili hoho nyekundu,nyanya,matango na mboga nyingine ukipendelea.Pweza akishaiva unamuweka juu ya salad.Msosi tayari kwa kuliwa.Unaweza kutumia fish filet pia ukipendelea au kitoweo kingine baadala ya pweza!
View attachment 149309
Msosi huu unaweza kula na wali ukipendelea au unaweza kuchemsha pasta uchanganye na salad iwe pastasalad🙂
Hahahahhaha basi bora niseme chipsi mayai easy to make lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums