Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
- Thread starter
- #21
Ambayo nayo kuna siku unapika haiivi vizuri, siku nyingine unaiunguza....😁Mwenyekiti bahati mbaya mie najua kula tu, kitu naweza pika ni chai ya rangi
Ambayo nayo kuna siku unapika haiivi vizuri, siku nyingine unaiunguza....😁Mwenyekiti bahati mbaya mie najua kula tu, kitu naweza pika ni chai ya rangi
Ambayo nayo kuna siku unapika haiivi vizuri, siku nyingine unaiunguza....
Sijakuelewa brother....Unazungumzia pitiku ww....
hiyo unatakiwa ukaange...
mboga ya mabogo maji maji huwa ni libaya kwangu
Hujaelewa nn?Sijakuelewa brother....
Sio mboga, naongelea boga lenyewe...Hujaelewa nn?
mboga za maboga kama ndio hizo unazungumzia....
unatakiwa ukaange
Zama hizo, tulimpata msaidizi kutokea Kigoma. Baada ya siku mbili au tatu, binti akawa ameshazoea mazingira. Siku moja jioni, akamtambia wife kwamba amepika msosi heavy. Basi wife akawa na shauku ya kujua menu ya kumaliza siku. Mdada akapika boga kwa kujiamini ila hakujua hakuna wapenzi wa boga. Baada ya msosi kuwekwa mezani, tuliona aibu sisi kutokula, ikabidi tulimeze boga vivyo hivyo, japo alishtukia ameingia msikitini na viatu.Wapishi wa humu nawasalimu.....
Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu.
Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye sahani linavuja maji tu (mchuzi maji)... hata halivutii tena kula linakata stimu. Nakosea wapi?
Huwa naandaa hivi: nalikata vipande namenya maganda, naweka kwa sufuria, chumvi kidogo na maji kidogo nachemsha.
Ila matokeo ndio hayo mimaji, kuna upishi mwingine? Au nakosea kuchagua boga? ( Siku zote sijui tu kuchagua mmh).
Niliwahi kusikia linatakiwa kuanikwa kabla ya kupika, ni kweli?
Naombeni ujuzi.
Ni aina ya boga ulilonunua, tafuta lenye ganda laini lakini ndani kama kiazi, ukiweza muulize hapo ulipokula akutafutieWapishi wa humu nawasalimu.....
Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu.
Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye sahani linavuja maji tu (mchuzi maji)... hata halivutii tena kula linakata stimu. Nakosea wapi?
Huwa naandaa hivi: nalikata vipande namenya maganda, naweka kwa sufuria, chumvi kidogo na maji kidogo nachemsha.
Ila matokeo ndio hayo mimaji, kuna upishi mwingine? Au nakosea kuchagua boga? ( Siku zote sijui tu kuchagua mmh).
Niliwahi kusikia linatakiwa kuanikwa kabla ya kupika, ni kweli?
Naombeni ujuzi.
Ahaa ok hilo sijajua kwa kweliSio mboga, naongelea boga lenyewe...
Mmh boga na makande
Lazima likate stimu Sasa unamix na nyanya halafu unaweka na pilipili hoho Sasa hilo boga au mboga!! Anyway ngoja wataalum waje wakuelekeze maana bora wewe binafsi chai tu inakuwaga na mabuja..😎Wapishi wa humu nawasalimu.....
Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu.
Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye sahani linavuja maji tu (mchuzi maji)... hata halivutii tena kula linakata stimu. Nakosea wapi?
Huwa naandaa hivi: nalikata vipande namenya maganda, naweka kwa sufuria, chumvi kidogo na maji kidogo nachemsha.
Ila matokeo ndio hayo mimaji, kuna upishi mwingine? Au nakosea kuchagua boga? ( Siku zote sijui tu kuchagua mmh).
Niliwahi kusikia linatakiwa kuanikwa kabla ya kupika, ni kweli?
Naombeni ujuzi.
Kuna mambo mawili unakosea kwanza kipimo cha maji. Inaekekea unaweka maji mengi kama unapika kande (joke). Punguza kiasi cha maji. Pili boga linatakiwa lipikwe kwenye chombo ambacho kikifunikwa hakiruhusu hewa kuingia ikiwa na kuepuka kufunua funua sufuria yako. Huku kijijini tunafunika na majani ya maboga kabla ya kufunika na mfuniko unaobana.Utajua kama limeiva kwa kusikiliza tu mlio wa kuchemka. Ni vizuri ukaipua wakati maji yote yamekauka ndani ya sufuria.Wapishi wa humu nawasalimu.....
Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu.
Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye sahani linavuja maji tu (mchuzi maji)... hata halivutii tena kula linakata stimu. Nakosea wapi?
Huwa naandaa hivi: nalikata vipande namenya maganda, naweka kwa sufuria, chumvi kidogo na maji kidogo nachemsha.
Ila matokeo ndio hayo mimaji, kuna upishi mwingine? Au nakosea kuchagua boga? ( Siku zote sijui tu kuchagua mmh).
Niliwahi kusikia linatakiwa kuanikwa kabla ya kupika, ni kweli?
Naombeni ujuzi.
Mmmh hili pishi...kibokoLazima likate stimu Sasa unamix na nyanya halafu unaweka na pilipili hoho Sasa hilo boga au mboga!! Anyway ngoja wataalum waje wakuelekeze maana bora wewe binafsi chai tu inakuwaga na mabuja..😎
Your welcomeMmmh hili pishi...kiboko
Mi nlijua ni boga boga kumbe BOGASinto shangaa vijana wa kizazi cha suruali za kubana na zilizo chanwa magotini, wakishangaa hili neno boga....
Update:
Nimefata ushauri hapo juu, nimeshapika mara mbili naweka maji kidogo sana nafunika vizuri mvuke haupiti....linaiva kwa mvuke.
Utamu umeongezeka na halipati maji tena next time nikinunua zuri mambo yatakua bam bam...
Naomba unitumie kwakweli napenda maboga na magimbi pia....😋Mwenyekiti sijui nikutumie haya ya huku kwetu + magimbi; mbona utajinomaaa
Naomba unitumie kwakweli napenda maboga na magimbi pia....