Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi napinga piracy hasa ya kazi za watanzania lakini pia napinga watu wanajifanya wako kifua mbele kupinga piracy inayoweza kuwa mkombozi wa taifa letu.
Mfano. Shule na vyuo hazina vitabu kwa hiyo kusmahrui mwnafuzi kusoma au kupakua kitabu cha GPRS and Wireless Applicatins Personal Wirelss Communication , Bluetooth arctecture. Kutoka Afroit.com au Jamiiforums.com hata kama hawana copy right ya kufanya hivyo kwangu ni sahihi. Tembelea Communication--Wireless Technologies--GPRS and 3G Wireless Applications uone baadhiya vitabu walivyonavyo
Wanafunzi wa chuo kulalamika hana vitabu wakati kwenye mtando kuna vitabu vya bure kwa kisingizio cha copy right ni uzushi.
Mtotowa mkulima kushindwa kufanya course ya CCNA au MSCE sababu hana uwezo wa kulipa mafunzo wakati kuna Video za mafunzo tena za kiwango bora ni uzembe. Mfano kuna vide nzuri tu kama Train Signal Cisco CCNA Training Videos (download torrent) - TPB
Au MICROSOFT VISUAL STUDIO 2010 TRAINING DVD [thethingy] (download torrent) - TPB
As long as piracy haihusihi kazi za watanzania kwangu naona Ni fursa ya Kutumia Internet na IT kwa manufaa yetu bila woga. Nashauri na serikali iache kufuata fuata mkumbo tu.
Je una maoni gani juu ya mchango,atahri, faida na hasara za piracy kwa maendeleo ya Tanzania.
Nawasilisha kwa mjadala
Mfano. Shule na vyuo hazina vitabu kwa hiyo kusmahrui mwnafuzi kusoma au kupakua kitabu cha GPRS and Wireless Applicatins Personal Wirelss Communication , Bluetooth arctecture. Kutoka Afroit.com au Jamiiforums.com hata kama hawana copy right ya kufanya hivyo kwangu ni sahihi. Tembelea Communication--Wireless Technologies--GPRS and 3G Wireless Applications uone baadhiya vitabu walivyonavyo
Wanafunzi wa chuo kulalamika hana vitabu wakati kwenye mtando kuna vitabu vya bure kwa kisingizio cha copy right ni uzushi.
Mtotowa mkulima kushindwa kufanya course ya CCNA au MSCE sababu hana uwezo wa kulipa mafunzo wakati kuna Video za mafunzo tena za kiwango bora ni uzembe. Mfano kuna vide nzuri tu kama Train Signal Cisco CCNA Training Videos (download torrent) - TPB
Au MICROSOFT VISUAL STUDIO 2010 TRAINING DVD [thethingy] (download torrent) - TPB
As long as piracy haihusihi kazi za watanzania kwangu naona Ni fursa ya Kutumia Internet na IT kwa manufaa yetu bila woga. Nashauri na serikali iache kufuata fuata mkumbo tu.
Je una maoni gani juu ya mchango,atahri, faida na hasara za piracy kwa maendeleo ya Tanzania.
Nawasilisha kwa mjadala