1. Maghala 22 yamelipuka na kubakiwa na ghala moja namba 23.
2. Mabweni mawili ya askari wa JWTZ yaliteketea katika tukio hilo.Hali kadhalika magari 22 yaliyokuwa katika eneo hilo.
Source - Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana bungeni.
Pamoja na uharibifu wote hapo juu,, msemaji wa Jeshi la Wananchi Luteni Kanali Masoud Mgawe asisitiza kuwa hajutapoteza askari hata mmoja.
JE KUNA UKWELI HAPO?
2. Mabweni mawili ya askari wa JWTZ yaliteketea katika tukio hilo.Hali kadhalika magari 22 yaliyokuwa katika eneo hilo.
Source - Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana bungeni.
Pamoja na uharibifu wote hapo juu,, msemaji wa Jeshi la Wananchi Luteni Kanali Masoud Mgawe asisitiza kuwa hajutapoteza askari hata mmoja.
JE KUNA UKWELI HAPO?