mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF kuna jambo ambalo limeonesha kupinda kwa kauli za Waziri mkuu,kwanza nimpongeze kwa kuwaita na kuwapa Semina ma DC na Ma RC(wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa)amewaambia wakafanye kazi za kutatua Kero za Wananchi
Jambo lililonistua ni pale aliposema"Ninyi sio wana Siasa kafanyeni Kazi" hii kauli ni ajabu na ya kinafiki sana,ikumbukwe kuwa kuna wabunge waliopewa huo U DC na U RC, na inajulikana kuwa Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya Ccm mkoa,je huyu si mwana siasa? Hali kadhalika DC(mkuu wa wilaya)ni mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya wilaya.
Sasa Pinda unaposema kuwa sio wana siasa unataka kutuambia nini hapa? Hebu tafadhali Usipindishe maneno
Tafakari kabla hujatamka maana TZ ya leo sio ya Jembe na Nyundo ni ya I pad na Lap top
Nawakilisha...
Jambo lililonistua ni pale aliposema"Ninyi sio wana Siasa kafanyeni Kazi" hii kauli ni ajabu na ya kinafiki sana,ikumbukwe kuwa kuna wabunge waliopewa huo U DC na U RC, na inajulikana kuwa Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya Ccm mkoa,je huyu si mwana siasa? Hali kadhalika DC(mkuu wa wilaya)ni mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya wilaya.
Sasa Pinda unaposema kuwa sio wana siasa unataka kutuambia nini hapa? Hebu tafadhali Usipindishe maneno
Tafakari kabla hujatamka maana TZ ya leo sio ya Jembe na Nyundo ni ya I pad na Lap top
Nawakilisha...