Pinda: ukosefu wa watumishi waaminifu umeua viwanda vyetu baada ya uhuru!

raymg

JF-Expert Member
Jun 30, 2012
842
214
Mh PM amesema wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadam kinachomirikiwa na mhindi...kua ukosefu wa watumishi waminifu ndo umeua viwanda vyetu baada ya uhuru! Kuna ukweli wowote kwenye hii kauli ya Mkulima,
 
mtoto wa mkulima naye bwana sometimes anatoa CHEAP SAYS sana kwa mambo yanayohitaji majibu magumu.........
 
Mh PM amesema wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadam kinachomirikiwa na mhindi...kua ukosefu wa watumishi waminifu ndo umeua viwanda vyetu baada ya uhuru! Kuna ukweli wowote kwenye hii kauli ya Mkulima,[/QUO

Eti watumishi waaminifu na waliuza viwanda vyote
 
Serikali ya ccm ilishindwa kusimamia hivyo viwanda, hiyo inatokana na udhaifu waccm, Ccm ni (DHAIFU)
 
kichekesho!watumishi hao hao ndio wameleta maendeleo wanayojivunia wakati wa kampeni!
 
Mh PM amesema wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadam kinachomirikiwa na mhindi...kua ukosefu wa watumishi waminifu ndo umeua viwanda vyetu baada ya uhuru! Kuna ukweli wowote kwenye hii kauli ya Mkulima,

Ni kweli kabisa. na wengine wakatumia hizo hela kujengea mahekalu huko Migombani ambayo sasa hivi yanatumika kufugia majini na hayakaliki na mtu yeyote.
 
kichekesho!watumishi hao hao ndio wameleta maendeleo wanayojivunia wakati wa kampeni!

hahahaaa.....mkulima ana siri nzito sana! Sio rahis kutofautiana na serikali ya CCM kwa kiwango hiki, mengi yaja tusubiri
 
huyu waziri miyeyusho hawa ndio watu wa kunyongwa hawa manake yupoo madarakani toka kipindi cha nyerere hadi leo so sisi tufanyeje kama yeye analalamika hawa wengine ambao hata hatujawahi kumuona nyerere tufanyeje??
 
Tangu uhuru viwanda vimekufa, tangu nyerere ameondoka madarakani hatujawahi kupata rais tena mzalendo.
 
Watumishi wazembe na wasio waminifu anawafahau, huu n usanii wa viongoz wetu!
 
Back
Top Bottom