CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 285
WAZIRI mkuu kilaza kama MaCcm Wenzake! Mburura tu....
Kama ilivyo kwa Alhaji Kinana Muislamu kuuza meno ya Tembo
Ninadhani pia wale waliopo kwenye makundi ya "wasiotii sheria/amri halali" ndio wa kuwashangaa zaidi...Ni mara ngapi serikali imeshawasihi watu wawe wanatii amri halali?....Inabidi kutumia mbinu mbalimbali katika kuleta amani....sasa kama kuna watu ambao umejaribu kutumia mbinu mbalimbali ili wasilete vurugu lakini unaona bado hawatii,unaweza jaribu na kufanya "extra mile".....inaeleweka mahakamani "miyeyusho na gharama" nyingi....kama vile wananchi wanavyoamuaga kufanya mahakama zao zile mwaita "Wananchi wenye hasira kali"...kwanini nara nyingi huwa mnawatetea wakati mnajua kuna mahakama?...
Mimi niko pamoja na Pinda..."asiyetii amari halali arambwe virungu tu"....ILA tafadhali wale watiifu waachwe wa enjoy.....
Ni kweli hata Mwangosi huko Iringa alikataa kutii "amri halali" na waliomba " ushaidi hawakupewa. Heeh eeeh . Hivi amri halali ni kuzuia maandamano kwa kisingizio cha inteligensia kila wakati. Kwa polisi wetu amri halali ni ile kuzuia jambo lisilowapendeza watawala lisifanyike, na sio kuwezesha jambo lifanyike .
Akante mkuu....nikuage kwa neno moja utawala wowote uliofitnika hautadumu.....RIP Magamba