Pinda na ukinyonga wake .

mapanga3

JF-Expert Member
May 1, 2012
665
633
Watz weng tulimwamini sana na kutegemea kuonacheche zake waziri mkuu pinda baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya uwaziri mkuu baada ya kujiudhuru kwa lowasa. Lkn mambo hayakuwa kama watu tulivyotegemea, badala yake tumeshuhudia ukinyonga wake ktk utendaj wake kama waziri mkuu, amekuwa ni mtu wakusema jambo na baadae kujipinga mwenyewe, amempa wakati mgumu wazir magufuli ktk upanuzi wa barabara ,alishindwa hata kujaribu kumsimamisha katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini kwa madai yeye hana madaraka kwakuwa ni mteule wa rais. Juzi tumesikia alivyomchachafya mkurugenzi wa wilaya ya ukerewe, je hakujua huyu naye ni mteule wa rais kwa nin hakumgoja rais kwanza, ukiacha na hilo utakutana na kauli yake iliyomfanya alie bungeni huku akijua kuwa watz wengi walio mwamini kama mtendaji mahiri badala ya kutetea hoja yake aliposema wanaoua albino nao wauwawe. Tofauti ya wauaji wa albina na jambazi nin ? Binafsi tunaona bora lowasa angeendelea nchi isingefika hapa ilipo.
 
Watz weng tulimwamini sana na kutegemea kuonacheche zake waziri mkuu pinda baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya uwaziri mkuu baada ya kujiudhuru kwa lowasa. Lkn mambo hayakuwa kama watu tulivyotegemea, badala yake tumeshuhudia ukinyonga wake ktk utendaj wake kama waziri mkuu, amekuwa ni mtu wakusema jambo na baadae kujipinga mwenyewe, amempa wakati mgumu wazir magufuli ktk upanuzi wa barabara ,alishindwa hata kujaribu kumsimamisha katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini kwa madai yeye hana madaraka kwakuwa ni mteule wa rais. Juzi tumesikia alivyomchachafya mkurugenzi wa wilaya ya ukerewe, je hakujua huyu naye ni mteule wa rais kwa nin hakumgoja rais kwanza, ukiacha na hilo utakutana na kauli yake iliyomfanya alie bungeni huku akijua kuwa watz wengi walio mwamini kama mtendaji mahiri badala ya kutetea hoja yake aliposema wanaoua albino nao wauwawe. Tofauti ya wauaji wa albina na jambazi nin ? Binafsi tunaona bora lowasa angeendelea nchi isingefika hapa ilipo.

Labda na jina lake linachangia
 
Tatizo Pinda mwenyewe KAPINDA MNO, huyu jamaa hana lolote. Kilichopo hapo ni kuziba nafasi tuu sio kiongozi wa kutumikia wananchi. Ni bora hata nywele nyeupe ingawa inasemwa alikuwa na mkono mrefu, ha ha haaa!!!! huwa namkumbuka white hair kwa jinsi alivyokomalia majosho ya mifugo, malambo na sekondari za kata. Pinda sanasana huwa namkumbuka kwa kuangua kilio kama toto dogo mbele ya wanaume kwa kisingizio eti cha uchungu!!! ebo!!! mwanaume unaangulia kilio namna ile!!!
 
Pinda ni shock absorber majibu yake mengi ni kupoteza hoja mara utamsikia ''serikali imeliona hilo na tutalifanyia kazi kwa mujibu wa sheria''.
 
Back
Top Bottom