Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,346
- 7,169
Hivi unaandikia gazeti gani vile?Si jambo la kawaida kabisa, kuona Waziri Mkuu mstaafu, akisusa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa anayeziba nafasi yake; lakini leo mizengo pinda na familia yake hawakuonekana kabisa Ikulu ya Chamwino. Je, ni hasira za kuukosa urais?
