Pinda kamsusa Majaliwa?

Pinda kamsusa Majaliwa?

Si jambo la kawaida kabisa, kuona Waziri Mkuu mstaafu, akisusa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa anayeziba nafasi yake; lakini leo mizengo pinda na familia yake hawakuonekana kabisa Ikulu ya Chamwino. Je, ni hasira za kuukosa urais?
Hivi unaandikia gazeti gani vile?
 
Si jambo la kawaida kabisa, kuona Waziri Mkuu mstaafu, akisusa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa anayeziba nafasi yake; lakini leo mizengo pinda na familia yake hawakuonekana kabisa Ikulu ya Chamwino. Je, ni hasira za kuukosa urais?

Majungu katika ubora wake.
 
Huyu anataka kuchukua mikoba ya Salva mbona kapya sana.
 
kwani Lowasa na Sumaye walikuwepo Kama hawakuwepo basi na wao wanahasira ya kukosa Urais
 
Ni aibu mwandishi wa habari kuleta uchonganishi na uchochezi usio wa msingi! Hivi ni lazima mizengo atokee pale na hata kama hayupo ndio sababu ya kusema amesusa? acha uchochezi

Hivi unajua umefanya uhalifu wa kimtandao na ni haki yako kupandishwa kizimbani?

Mkuu kweli inabaki kuwa kweli siku zote, hata kama utaupaka rangi useme uchochezi kama hakuwepo hakuwepo mkubwa.
 
Atafutwe kila kona alipo apig.... tu
 
rejea ndege ya rais ilipo ; amekwenda kuhakiki chenji yake
 
Hata Lowassa na Sumaye hawakuwepo, tukumbuke PM ni cheo cha serikali na wala si cha chama cha ccm. Dr. Salim je?
Sio dalili njema kwa umoja wa taifa letu.
 
Atakuwa na sababu labda ugonjwa au majukumu mengine ya kifamilia
 
Wa nini sasa.Ndio kajitambua sasa kwamba alikuwa kituko miaka yote.Ndio anamkumbuka Mungu sasa.
 
Back
Top Bottom