Pinda azidi kushangaa

Ndio maana wenye kuelimika wanasema hiki cheo cha waziri mkuu ni sawa na bure...hakina maana yoyote.

huyo ndo waziri mkuu Pinda aka mtoto wa mkulima..yeye kila kitu anashangaa tu

hapo ndipo unapoweza kugundua hawa jamaa hawako serious


Nakubaliana na nyie ndugu zangu, nadhani nchi hii inahitaji aidha kukaa kimya au kuanzisha shari, PM anawachota watanzania, story za kuwa viongozi wa wenzetu nje wanatumia gari za kawaida, is very well known.

Hapana shaka Pinda ni kati ya viongozi wazalendo tulionao kwa nyakati hizi... Namshauri ajiuzulu kwa sasa ili heshima yake iendelee kuwepo kwa vizazi vijavyo.. maisha ni process na nilazima yakamilike!...

Huu ushauri asipoweza kuufuata basi historia itamfuata yeye na vizazi vyake!
 
Sasa anashangaa nini wakati yeye ni PM? Kwani hao wanaonunua hayo mashangingi si wako chini yake? Si ni serikali yake inayo andaa bajeti ama bajaeti huwa inaandaliwa na serikali nyingine na wao wanaletewa tu?

Mambo mengine ni aibu hata kuyaongelea, bora angekaa kimya. Wananchi hawajaanza leo kulalamikia matumizi ya magari ya bei mbaya. Watu walishatoa mifano ya Kenya, Uganda na Rwanda. Ila kwa kuwa serikali yetu ina itikadi ya ufisadi wala hawaelewi kilio cha wananchi.

Poor Pinda na sielewi anashangaa nini?!?!
Take five mkuu.
 
Ailing ATCL in posh car scam




By Joyce Kisaka



29th September 2009




headline_bullet.jpg
Subsidy money allegedly used to order vehicles



Chambo(2).jpg

Infrastructure Development ministry Permanent secretary Engineer Omar Chambo.


Air Tanzania Company Limited (ATCL), surviving on government subsidy, is under probe for alleged purchase of more than 15 luxury vehicles, for its top bosses for which it also sought tax exemption.

Reliable information from ATCL alleged that the money to buy the vehicles for the company's top bosses was part of the rescue package from the government and that apparently the decision was made by the management in collaboration with the Board.

The actual value of the luxury, four-wheel drive vehicles, locally referred to as ‘Mashangingi', is yet to be established, but experts say it is likely to be over 2billion/-, at the current price of 120million/- for a Landcruiser model imported from Japan.
Infrastructure Development ministry Permanent secretary Engineer Omar Chambo, confirmed the purchase of 15 to 20 Landcruisers from Japan, saying the ministry was investigating the matter.

He also confirmed the allegations that the vehicles were for the use of the company's top bosses.

He said he had ordered the relevant documents from ATCL and that the ministry's auditors were working on them to establish the source of the funds to buy the vehicles and the people involved in the scam.

He termed the purchase as irresponsible in light of the state of the airline company, which has been surviving on government subsidy since its establishment. "We will take action against the people involved in the purchase. We are not ready to entertain this behaviour, " he said.

Chambo said everyone was aware of the state of ATCL and the measures being taken to rescue it.

Tanzania Revenue Authority officials who asked for anonymity, confirmed to The Guardian that the posh vehicles were lying at the port, saying they were now lined up for auction after efforts by officials from the airline's management and board to secure tax exemption failed.

When asked whether he was aware that the vehicles were lined up for auctioning by TRA, Chambo said he did not know of any such move, but promised to follow up the matter.

Sources at the Treasury told this paper that ATCL continued to be a taxpayer's burden, as it continued to operate at a loss, relying on government subsidy. The source expressed serious concern at the possible misuse of the subsidy the company was drawing from the Treasury, calling for urgent investigation of the use of the funds.

The source however declined to say how much the government has so far spent on ATCL.

Commenting on the status of the company, Chambo said negotiations between the government and the Chinese firm which has shown interest to invest in ATCL are still on and going well.

He explained that the government was being careful in the negotiations to avoid a repeat of the mistakes made in the pact with the South African Airways.

The TRA Director of Taxpayers Education, Evod Mmanda told this paper that he was not aware of any ATCL vehicles lined up for auctioning, adding that when it came to auctioning, it was not their concern who the vehicle belonged to.

"We normally focus on getting the due revenue. We don't care who the vehicle belongs to. We run auctions regularly, so it is hard to establish which auction involves whose cars" , he said.

A spot check by The Guardian at the Dar es Salaam port established that the vehicles were still lying there. No official was however ready to show this reporter where they were being kept, but one of the port workers hinted: "We know where they are, but we can't show you. One or two of them has been cleared" he alleged.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Sijawahi kumprove wrong mtu anayesema miafrika ndivyo tulivyo. Inaelekea WOTE TUNA MTINDIO WA UBONGO. Wale wanaotakiwa kufanya mambo wanalalamika! Wale tunaotakiwa kulalamika tunalalamika!! umeshasikia mara ngapi JK naye akilalamika? Unakumbuka alipoenda bandarini na kushangaa na kulalamika kuwa mambo hayaendi? Anapoongea na watendaji huwa anaomba wawajibike.

Si bure something is wrong somewhere in our brains!! Haiwezekani waziri mkuu alalamike na kushangaa kama anavyofanya. Hata mkimtetea kuwa hana madaraka. Hata raisi naye analalamika! Naye hana madaraka??

No way, we are lame, somewhere in our brains!! It pains!!
 
Last Bunge session, PM shed tears when he was asked a question by MP about albino killings, it seems he was looking for sympathy from the public. Now he is suprised to see top brass of the government are riding the luxury vehicles as if he is not one of them, If he wants to keep distant from them he should start by changing his own fleet to ordinary vehicles and to cut down number of cars which escort his motorcade. Otherwise he will never escape the blame as he is among them who love to ride in those shangigis. This time he will never get sympathy from the public.
 
Pinda ameeleza hisia zake, lakini mjue kwamba kama mkuu wake hataki mashangingi yakomeshwe yeye afanye je? Kumbuka Rwanda aliyekomesha mashangingi ni Kagame mwenyewe, sasa kama Rais hafanyi hivyo mnataka Pinda ale sumu? Mashangingi ni suala la serikali kwa maneno mengine ni kazi ya Rais aliyemadarakani kuamua kama mashangingi mbele kwa mbele au Basi! Pinda asionewe, hana ubavu katika hili. Mwenye serikali yake ndiye mwenye nguvu nalo!
 
Anachoshangaa kitu gani, yeye si ndio kiongozi wa shughuli za serikali, sasa kwa nini asikomeshe. Wala hashangai, angeshangaa kama na yeye angekua anatembelea GUTA, lakini kama ndio mule mule hakuna kitu hapo, unafiki tu
 
Duh ATCL

sasa hapo ipo kazi. Na yule kilenga wa ATCL aka mataka nadhani si ndie aliye ikologa NSSF kipindi fulani miaka kadhaaa iliyo pita na aka pewa ukubwa ATCL jamani kumbe serikali nayo yajitakia mambo mengine ukisha Ulowanya upande fulani tena wanakuhamishia kwingine ukavuruge.

Pinda anapaswa kutoa mfano kwa mmoja ya viongozi wetu hao walioko mawizarani au tu apige big stop kwa wizara chache waone kama watafurukuta watanzania ni waoga sana
 
unashangaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kama jina lako umepinda kweli
Anashangaa magari, mwambieni kwenye mshangao wake ashangae na hivi vifuatavyo...
1. ndege ya raisi ...........Si wamenunua ndege ya kifahari ambayo hata ikitakiwa tule majani tutakula tu ilimradi ndege inunuliwe.

2. Asiishie hapo, ashangae na rada

3. Ashangae twin tower ya BOT yenye variation ya 110% katika ujenzi wake.

4. Ashangae samaki wa magufuli ambao gharama ya kuwatunza inaweza ikazidi gharama ya samaki na kesi.

5. Ashangae serikali tangu iseme itahamia Dodoma haijafanya hivyo. Na kuna waziri mmoja mkubwa alishawahi kusema kuwa yeye akimtaka waziri yeyote atamfuata Dodoma, lakini hadi leo m'bado..........

n.k.........
 
pinda kasaini mkataba wa kuiuza nchi kwa korea........mh amepinda!!!!!!!!!!!!!1
 
Pinda anashangaa kwa nn TZ iko ivi.....
JK hajui chanzo cha umaskini wa Tz....
Sasa kwa mtaji huu kazi kwelikweli hao ndo madereva hawajui gia ilipo...patamu hapo!!
 
Kalikihinja chukua tano mkuu,

inaniuma sana ile ya kutohamia dodoma mpaka leo yani lazima tutashangazwa kwa nguvu tupende tusipende
tokea niko std 3 1980's mpaka leo no signs jamini ni ofice ya waziri mkuu tu ilikuwepo sasa sijua kama mpaka sasa ina makbrasha au computer hapo karibu na posta ya dodoma, ni malecela nakumbuka nilikuwa na mwona hapo Dom sijui kwakuwa ni kwao??
 
Nafikiri Pinda amefikisha ujumbe kwa bosi wake kikwete na pia amemshitaki kikwete kwa bosi wake yaani sisi wananchi.Ameonyesha kukerwa na haungi mkono matumizi ya hayo magari. Angeyaunga angenyamaza tu asingesema. Rais ndiyo mwenye mamlaka ya kubadilisha sera ya nchi hasa vipaumbele anavyoona vinafaa kwa maendeleo ya nchi.
Asipotekeleza chonde chonde wananchi tukamwadhibu kwenye sanduku la kura.Tanzania tumepigika kwa umaskini.Yakinunuliwa tena tuyapige mawe tukiyaona yanapita barabarani.Tumechoka.au mnasemaje wajumbe?
 
Huyu mheshimiwa tunaweza kusema ana nidhamu ya woga kwa watanzania, kama kweli ana uchungu na nchi hii si aanze yeye kurudisha vitu/mali zote za anasa na amshauri rais wake siyo kuondea kwenye media, mbona Sokoine aliweza kumwambia Nyerere apunguze baraza la mawaziri wakati huo na akakubali, sasa yeye anapiga kelele lakini haachii!!!hizi hoja ni sawa na mtu anayesema " jamani ee hii nyama ni mbaya sana" wakati yeye anaitafuna!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom