Nakumbuka alipoteuliwa kuwa pm, binti yake akaomba ibada ya kumuombea babaye wanafunzi wengi 2lishiriki kumuombea kwa MUNGU, Apoanza nilimwona mwenye kutia ma2main ya kuleta mabadiliko ndan ya chama chake. Sasa iv naona amesha jipanbanua kwa kauli zake kama fisadi, je hii hali ameadapt kwa mafisadi wandamiz kama jk,RA,EL,.....au ni tabia yake alokuwa ameficha?