nachelea kusema kua mpaka sasa mwenyekiti wangu aliposema kua tutadai haki yetu kwa namna yeyote nje ama ndani ya bunge sasa kama el nae kapata uenyekiti na sasa huyo lm anaweza kweli kufikilia sasa mimi naogopa sana kwani kazi itakua ngumu sana huko tunakokwenda