Pinda alikoroga, alinywe sasa

Pinda alikoroga, alinywe sasa

Hoja inaanza kupotea, jadilini mada iliopo na sio kuanza kulumbana. Kwa mwenendo huu, hata kupata katiba nitabu tupu.
 
Tujiulize nikweli hizi taarifa? Kabla hatujaanza ku tupiana vijembe, we should be great thinkers na sio watu wenye loose talk yani kuropokaropoka tu jamani!
 
Kwanza tupe chanzo cha habari please na sio kutunga maneno. Watanzania, tujifunze kuweka chanzo cha habari yani source na sio maneno ya kwenye ma gengeni au vijiwe.
 
President Mizengo Pinda!? ... sounds awkward!
 
Tujiulize nikweli hizi taarifa? Kabla hatujaanza ku tupiana vijembe, we should be great thinkers na sio watu wenye loose talk yani kuropokaropoka tu jamani!

kama umezoeya kuropoka ropoka sio watu wote huwa wanafnya hivyo.Chunga mdomo wako hata mimi nina maneno machafu kuliko wewe,jadili hoja iliyoko mezan
 
Hoja gani ndugu, weka chanzo chauhakika ili ijadiliwe. Kuwatu hapa wana leta, tetesi, majungu, uongo na mengine mengi yasio na ukweli. Bring out the sourse ya hii habari, ili ijadiliwe hapa jamvini.
 
Mtakuja na kila Maneno ya uzushi kimsingi Pinda kawabana pabaya.@ kambi ya luwasa hailali usiku kucha na bado matakwenda German sana tu

Teh,teh,teh,teh,teh,teh,teh!!!!!!!!!,eti pinda kawashika pabaya!mpitisheni muone!
 
Pinda maisha yake yote.
Mziki wa EL hatakaa aucheze
Lowassa ni sawa na CD mia saba!
 
Kwanza tupe chanzo cha habari please na sio kutunga maneno. Watanzania, tujifunze kuweka chanzo cha habari yani source na sio maneno ya kwenye ma gengeni au vijiwe.

kama umezoeya kuropoka ropoka sio watu wote huwa wanafnya hivyo.Chunga mdomo wako hata mimi nina maneno machafu kuliko wewe,jadili hoja iliyoko mezan

Oya wa Kiloriti lete source ya umbea wako otherwise ni kweli unaropoka usiwe mkali!
 
Naona joka la mdimu limemuhanya bosi wake pinda limeingia mitini,No i lov mwanza,wala kuoteshwa!
 
Back
Top Bottom