Pinda alikoroga, alinywe sasa

Pinda alikoroga, alinywe sasa

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Kwa habari zilizovuja usiku wa jana ndani ya CCM ni kwamba baada ya pinda kutangaza nia ya kuwania urais ..Makada wa chama hicho walikutana na kupitisha azimio kumwandikia Pinda Barua ya kujieleza kwanin kavunja kanuni za chama na Hasa kwa kusema kuwa Mwenyekiti wa Chama ndiye chaguo lake.
Kilichosukuma CCM kufanya hivyo ni pressure kutoka kwa vyama pinzani kuja juu kuhusu pinda kutumia Mali za umma kwa manufaa binafsi ya kujiweka urais 2015.Chezea CCM wewe!.
 
Nnavyo mjuwa kayanza pinda atalia tu mpka watamuhurumia watamsamehe,manake naye ni mzee wa vilio sna!!
 
Mzee wa vipigo pinda naye ni wakumjadili??mi nfikir wamuache tu.huyu hana madhara hata kidogo
 
Huyu Mzee Pinda yuko yuko tu kwenye kundi la wamo wamo ashapoteza Dira.
 
Ua CCM waachieni CCM, angalieni dikteta wenu anavyotukana wenzake kule kuwa yeye ni kisiki hawamuwezi
 
Kwa habari zilizovuja usiku wa jana ndani ya CCM ni kwamba baada ya pinda kutangaza nia ya kuwania urais ..Makada wa chama hicho walikutana na kupitisha azimio kumwandikia Pinda Barua ya kujieleza kwanin kavunja kanuni za chama na Hasa kwa kusema kuwa Mwenyekiti wa Chama ndiye chaguo lake.
Kilichosukuma CCM kufanya hivyo ni pressure kutoka kwa vyama pinzani kuja juu kuhusu pinda kutumia Mali za umma kwa manufaa binafsi ya kujiweka urais 2015.Chezea CCM wewe!.

Wewe ni #team ya nani mkuu.
 
Nnavyo mjuwa kayanza pinda atalia tu mpka watamuhurumia watamsamehe,manake naye ni mzee wa vilio sna!!
Kama huyu

Lissu+akilia1.jpeg
 
Kwa habari zilizovuja usiku wa jana ndani ya CCM ni kwamba baada ya pinda kutangaza nia ya kuwania urais ..Makada wa chama hicho walikutana na kupitisha azimio kumwandikia Pinda Barua ya kujieleza kwanin kavunja kanuni za chama na Hasa kwa kusema kuwa Mwenyekiti wa Chama ndiye chaguo lake.
Kilichosukuma CCM kufanya hivyo ni pressure kutoka kwa vyama pinzani kuja juu kuhusu pinda kutumia Mali za umma kwa manufaa binafsi ya kujiweka urais 2015.Chezea CCM wewe!.
Mtakuja na kila Maneno ya uzushi kimsingi Pinda kawabana pabaya.@ kambi ya luwasa hailali usiku kucha na bado matakwenda German sana tu
 
Kama kachemsha apewe haki yake ile kwa kumchagua tena mtoto wa Elikael ni kuwapa msemo CCM,ni ushauri tu
 
yeyote wa ccm kwangu mimi namwona hafai kwani ataingia ikulu kuwalinda magamba wenzake tu! inakera sana kusikia habari za wagombea wa ccm ktk nafasi ya urais!!!!
 
pinda mwenyewe anatambua kuwa lowasa ndo rais wake ajaye, acha wampe adhabu kdg ili wamkumbushe wajibu wake kwa lowasa
 
Back
Top Bottom