Pinda ajipinda kusuluhisha udini

Pinda ajipinda kusuluhisha udini

Pwaaaa

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
248
Reaction score
67
Hamjambo waungwana wa JF?.

Nipo hapa BoT Jijini Mwanza nikifuatilia kikao cha Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda na viongozi wa dini ya Kiislamu na Kikristo kuhusu nani mwenye mantiki ya KUCHINJA wanyama.

Ameingia ukumbini majira ya saa 6:10 mchana, akiwa na msururu mrefu wa magari ya Serikali kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa kiroho. Yap, baada ya kuingia ukumbini, Pinda aliruhusu waandishi wa habari kuzama ndani ya ukumbi then akatoa maelezo mafupi ya pole kuhusu mapigano ya kidini yaliyotokea Buseresere Geita na mtafaruku uliopo Nyehunge Sengerema.

Cha ajabu, baada ya hapo Pinda alijipinda kutoa maagizo waandishi wa habari waondoke ukumbini ili atete vizuri na Masheikh na Maaskofu. Wakiwa nje ya ukumbi waandishi, ofisa mmoja wa Usalama wa Taifa aliwafuata akitaka waende nje kabisa ya geti....lakini wakamdindia kwa kukataa kwenda nje na akawaacha.
 
Karibu sana Jamvini Mkuu,Pili nasikia kwamba kuna Mlinzi wake ambaye ndiye aliyewatimua na kuwatamkia maneno machafu waandishi?!,Tatu kama uko hapo bado haujanusa nini kinaendelea humo ndani,kwa sababu nasikia kuna mabishano sana kati ya pande zote mbili,vipi hilo?!
 
Hamjambo waungwana wa JF?.

Nipo hapa BoT Jijini Mwanza nikifuatilia kikao cha Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda na viongozi wa dini ya Kiislamu na Kikristo kuhusu nani mwenye mantiki ya KUCHINJA wanyama.

Ameingia ukumbini majira ya saa 6:10 mchana, akiwa na msururu mrefu wa magari ya Serikali kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa kiroho. Yap, baada ya kuingia ukumbini, Pinda aliruhusu waandishi wa habari kuzama ndani ya ukumbi then akatoa maelezo mafupi ya pole kuhusu mapigano ya kidini yaliyotokea Buseresere Geita na mtafaruku uliopo Nyehunge Sengerema.

Cha ajabu, baada ya hapo Pinda alijipinda kutoa maagizo waandishi wa habari waondoke ukumbini ili atete vizuri na Masheikh na Maaskofu. Wakiwa nje ya ukumbi waandishi, ofisa mmoja wa Usalama wa Taifa aliwafuata akitaka waende nje kabisa ya geti....lakini wakamdindia kwa kukataa kwenda nje na akawaacha.

wewe ni mgeni kwa id yako lakini si mgeni kwa matumizi ya JF. Ni kweli watumiaji wa njia ya kilimahewa mzunguko, kawaida hupitia capripoint, lkn leo tumechepukia mwanza hotel.

tupe updates, na ntawashangaa vongozi wa dini kurudi na jibu la kushindwa!!!!
 
hamjambo waungwana wa jf?.

Nipo hapa bot jijini mwanza nikifuatilia kikao cha waziri mkuu, mizengo kayanza peter pinda na viongozi wa dini ya kiislamu na kikristo kuhusu nani mwenye mantiki ya kuchinja wanyama.

Ameingia ukumbini majira ya saa 6:10 mchana, akiwa na msururu mrefu wa magari ya serikali kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa kiroho. Yap, baada ya kuingia ukumbini, pinda aliruhusu waandishi wa habari kuzama ndani ya ukumbi then akatoa maelezo mafupi ya pole kuhusu mapigano ya kidini yaliyotokea buseresere geita na mtafaruku uliopo nyehunge sengerema.

Cha ajabu, baada ya hapo pinda alijipinda kutoa maagizo waandishi wa habari waondoke ukumbini ili atete vizuri na masheikh na maaskofu. Wakiwa nje ya ukumbi waandishi, ofisa mmoja wa usalama wa taifa aliwafuata akitaka waende nje kabisa ya geti....lakini wakamdindia kwa kukataa kwenda nje na akawaacha.
kwakweli hii ndoyo tz kuchakachua kwa sana
 
pinda atapinda tu swala liko wazi kwani nguruwe anachinjwa na nani?kila mtu yuko huru kuchinja? kila mtu kwa imani yake basi,tunagombania nini?MFUGO WAKO ACHINJE MWINGINE?
 
Back
Top Bottom