ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
- Thread starter
- #21
Si mnajua hakuna kinachoandikwa kwenye magazeti ya Mengi bila yeye mwenyewe kukubali. Yeye ndio mhariri mkuu. Sasa mnataka kusema Mengi na waandishi wake wanamsingizia Pinda?