BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,671
Nilikuwa nakaribia kuiona namba ila nilipo ona comment yako akili imebadilika namba imenipoteaSioni namba nachoona Kama me na ke wananyanduana! Ngoja waje wenye macho ya hisabati waone namba sisi wazinzi tumeshaona tunachoweza kuona full stop.
Ndo ujue uelekeo wako we ni kashetani sema unataka kuhepa..😂😂Nilikuwa nakaribia kuiona namba ila nilipo ona comment yako akili imebadilika namba imenipotea
DADEKI mkuu umeonaje mi mbona sioni hizo nimejitahidi mpk ku zoom lkn ndo kwanza naona watu wananyanduana! We itakuwa unatudanganya!..3,7,8....
Katika hiyo picha kuna namba kama umeshidwa kuiona hiyo namba basi wewe ni green-red colorblind.
Yaani unamatatizo ya kushindwa kutofautisha kati ya rangi nyekundu, kijani, brown na orange zikichanganywa pamoja.
View attachment 1608298
Na zoom then nasogeza simu MBALI naziona Namba Vizuri Mkuu!DADEKI mkuu umeonaje mi mbona sioni hizo nimejitahidi mpk ku zoom lkn ndo kwanza naona watu wananyanduana! We itakuwa unatudanganya!..