spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Wakazi wa mabondeni inafahamika wazi kuwa ni wavamizi wa yale mabonde licha ya kuwa baadhi walipewa hadi hati ya umiliki kwa njia isiyo rasmi.
Jk ametenga eneo la Mabwepande ili hawa ndg wahamishiwe.....FINE!
Kilichonishangaza ni kuwa JK huyuhuyu ameamuru wananchi waliovamia Mabwepande wavunjiwe nyumba zao ili kupisha upimaji na ugawaji viwanja vipya vya hawa wa mabondeni. Unasolve tatizo,unazalisha lingine pale pale!!!!!
Swali langu, Kama ndiyo ungekuwa wewe mtoa maamuzi ungeamua vipi?
Unasemaje juu Kiongozi kama huyu ambaye anawashauri lukuki na wanalipwa kwa kodi yako?
Je, kama huyu ndiye TOP thinker wa Taifa, unafikiri tutafika?
kuna watu wanasema kuna Ombwe(Vacuum) la uongozi-wewe unasemaje?
Wakazi wa mabondeni inafahamika wazi kuwa ni wavamizi wa yale mabonde licha ya kuwa baadhi walipewa hadi hati ya umiliki kwa njia isiyo rasmi.
Jk ametenga eneo la Mabwepande ili hawa ndg wahamishiwe.....FINE!
Kilichonishangaza ni kuwa JK huyuhuyu ameamuru wananchi waliovamia Mabwepande wavunjiwe nyumba zao ili kupisha upimaji na ugawaji viwanja vipya vya hawa wa mabondeni. Unasolve tatizo,unazalisha lingine pale pale!!!!!
Swali langu, Kama ndiyo ungekuwa wewe mtoa maamuzi ungeamua vipi?
Unasemaje juu Kiongozi kama huyu ambaye anawashauri lukuki na wanalipwa kwa kodi yako?
Je, kama huyu ndiye TOP thinker wa Taifa, unafikiri tutafika?
kuna watu wanasema kuna Ombwe(Vacuum) la uongozi-wewe unasemaje?