Pilipili hoho fresh from shamba

Pilipili hoho fresh from shamba

ramase

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
241
Reaction score
49
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja.
Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki.
Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una ofisi rasmi sio lazima kulipa cash unaweza kuchukua halafu pesa ukatoa baadae baada ya kùuza kwa makubaliano maalum
Kama unahitaji au ndugu,rafiki tupigie kwenye 0719222043, 0654790487 kwa maelezo zaidi.
 

Attachments

  • 44437_1307385099306729_7805154444014443491_n[1].jpg
    44437_1307385099306729_7805154444014443491_n[1].jpg
    75.3 KB · Views: 57
  • 15073388_1307384885973417_1996978070298514247_n[2].jpg
    15073388_1307384885973417_1996978070298514247_n[2].jpg
    101.4 KB · Views: 64
  • 15094266_1307385589306680_3391762903086171833_n[3].jpg
    15094266_1307385589306680_3391762903086171833_n[3].jpg
    67.3 KB · Views: 58
  • 15135984_1307385279306711_3991747023798113161_n[1].jpg
    15135984_1307385279306711_3991747023798113161_n[1].jpg
    56.1 KB · Views: 64
Safi sana mkuu, Mimi ni mdau wa kilimo pia japo nadili sana na vitunguu Maji.
Kwa Jf hawaelewagi sana haya mavitu, cheki na fb au whatsapp groups.

Lakini pia do a physical market search like kwenda kuonana na wafanyabiashara mabibo, k,koo ,tandale n. K. Check madalali ili uuze fasta ukizingatia kua hoho ni perishable product..

Hongera sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom