PIKIPIKI YA SIMORAY 250 ADV

Jay_wa_tz

New Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Wadau naomba kujua hivi ni kwanini pikipiki ya sinoray 250 ADV watu wananunua sana na kuuza sana maana namba F zinazouzwa used ni nyingi sana.... Zinashida gani hasa?
 
Wadau naomba kujua hivi ni kwanini pikipiki ya sinoray 250 ADV watu wananunua sana na kuuza sana maana namba F zinazouzwa used ni nyingi sana.... Zinashida gani hasa?
Usije kujichanganya mkuu.ni mara10 ukanunua Honda XL 250 Used
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…