Pikipiki ya ajabu yaonekana Temeke

Pikipiki ya ajabu yaonekana Temeke

displayname

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,972
Reaction score
1,091
TV1 Leo hii wameripoti kuwepo kwa pikipiki ya ajabu aina ya FAKON imeonekana katika kijiwe cha Bodaboda huko Temeke.

Inadaiwa mkataba wa makubaliano umevunjika kwa dereva na boss wake kushindwa elewana, yasemekana Mwenye pikipiki ni mtu wa Tanga. Na hiyo pikipiki imetokea Tanga.

Hiyo pikipiki ipo kituoni yapata miaka minne hakunaawezaei ichukua au kuiiba wanadai Watu wanne waliojaribu ichukua wamekuwa machizi.

Pia wanadai huwa inaondoka nyakatifulani ikipiga route zake na kuridi kijiweni kwake.

Maswali ni mengi...wenye taarifa zaidi watujuze na picha pia mshare na wadau.

Picha sikufanikiwa ipata.
UPDATE picha kwa hisani ya Mtanzania!!
http:/
Pg-5A.jpg


Dunia na vijimambo vyake!!
 
TV1 Leo hii wameripoti kuwepo kwa pikipiki ya ajabu aina ya FAKON imeonekana katika kijiwe cha Bodaboda huko Temeke.

Inadaiwa mkataba wa makubaliano umevunjika kwa dereva na boss wake kushindwa elewana, yasemekana Mwenye pikipiki ni mtu wa Tanga. Na hiyo pikipiki imetokea Tanga.

Hiyo pikipiki ipo kituoni yapata miaka minne hakunaawezaei ichukua au kuiiba wanadai Watu wanne waliojaribu ichukua wamekuwa machizi.

Pia wanadai huwa inaondoka nyakatifulani ikipiga route zake na kuridi kijiweni kwake.

Maswali ni mengi...wenye taarifa zaidi watujuze na picha pia mshare na wadau.

Picha sikufanikiwa ipata.

Dunia na vijimambp vyake!!
Hii pikipiki taarifa zake zilisambaa siku nyingi sana mitandaoni, hadi baadhi ya magazeti yakaandika.
Soma hapa uweze kupata upembuzi zaidi
Ukweli kuhusu pikipiki ya maajabu Dar
 
Stori za kipuuzi hizi. Ujinga ujinga tu..... ya nini msiweke video watu wakijaribu kuisogeza?
 
Back
Top Bottom