mwanamke anapotanua miguu haitanuki miguu peke ake vyatanuka vingi, we unadhan kwanini mtu akiwa na mkojo anapana miguu ? akitanua nini kitatokeaa? kitendo cha kutanua miguu tena kwa muda nrefu na mara kwa mara hakuwezi kukuacha salama hata kidogo.Nahisi Kama unaota Kwa evidence zip labda??
Kwenye uzazi nakataa mpk keshoUongo!! Uke mkubwa hutokana na uzazi, dushe kubwa na umbile la asili.
OK ila bado haujanishawishimwanamke anapotanua miguu haitanuki miguu peke ake vyatanuka vingi, we unadhan kwanini mtu akiwa na mkojo anapana miguu ? akitanua nini kitatokeaa? kitendo cha kutanua miguu tena kwa muda nrefu na mara kwa mara hakuwezi kukuacha salama hata kidogo.
Hivi wanaume wakibanwa na mkojo huwa wanabana nini ?mwanamke anapotanua miguu haitanuki miguu peke ake vyatanuka vingi, we unadhan kwanini mtu akiwa na mkojo anapana miguu ? akitanua nini kitatokeaa? kitendo cha kutanua miguu tena kwa muda nrefu na mara kwa mara hakuwezi kukuacha salama hata kidogo.
Pointmiaka ya nyuma kulikua na mkao wa kike na kiume, ila sasa waneona ni gender stereotypes na fashion, hakuna wakike wala wakiume.
imagine mtu anatanua miguu kutoka kinyerezi hadi Ubungo,
tena si maramoja, yan daily mtu akitoka kazini .
tena wao wanaona fashion kutanua sana na kubinua kiuno ili waangaliwe wanachura. then baada ya muda wanataka dawa za kubana uke.
au waseme watu wanakibamia.
hivi vitu ni vya kua makini navyo sana bora upande guta unyooshe miguu
Labda watumiaji hawakuambii tu mkuu. Ila kwa miaka ishirini si mchezo...Uongo! Nimeendesha pikipiki for 20 yrs uke wangu haujawah tanuka! Acha habari zako
hahaa hii signature yko ..SHIKAMOOmabwaku mabwaku
Uongo! Nimeendesha pikipiki for 20 yrs uke wangu haujawah tanuka! Acha habari zako