Pigo walilokutana nalo Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga liwe fundisho kwa wasaliti

Pigo walilokutana nalo Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga liwe fundisho kwa wasaliti

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Baada ya chama imara kusisia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa waridhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge .

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau Hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea Hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.

1767853579465.png


1767853787838.png


1767853933132.png


1767854193286.png
 
Si
Baada ya chama imara kusisia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa waridhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge .

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau Hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea Hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.
Walishalipwa? Walitaka nini tena?
 
Baada ya chama imara kusisia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa waridhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge .

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau Hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea Hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.
this very nonsense thinking to a political student like you gentleman :NoGodNo:
 
Salum Mwalimu alikuwa ni mfanyakazi wa kituo cha runinga cha Channel 10 kwa miaka mingi sana..ambacho kinamilikiwa na CCM.

Nilistaajabu sana kumuona akipewa nafasi ya uongozi Chadema. Chadema ina mapandikizi mengi sana na wengine watarndelea kuja...Kifupi hakuna chama cha upinzani Tanzania.
 
Baada ya chama imara kususia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa walidhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge.

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.
MO29 ilivuruga kabisa mpango wa kugawana ULAJI baina ya maFISIEMU na CHAUMMA
 
Salum Mwalimu alikuwa ni mfanyakazi wa kituo cha runinga cha Channel 10 kwa miaka mingi sana..ambacho kinamilikiwa na CCM.

Nilistaajabu sana kumuona akipewa nafasi ya uongozi Chadema. Chadema ina mapandikizi mengi sana na wengine watarndelea kuja...Kifupi hakuna chama cha upinzani Tanzania.
Sawa mfua chupi wa Kihongosi
 
Salum Mwalimu alikuwa ni mfanyakazi wa kituo cha runinga cha Channel 10 kwa miaka mingi sana..ambacho kinamilikiwa na CCM.

Nilistaajabu sana kumuona akipewa nafasi ya uongozi Chadema. Chadema ina mapandikizi mengi sana na wengine watarndelea kuja...Kifupi hakuna chama cha upinzani Tanzania.
Chanel ten ilikuwa ya nani awali,imeanza kumilikiwa na CCM mwaka gani na Salumu Mwalimu alijiunga na CDM mwaka gani?
 
Baada ya chama imara kususia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa walidhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge.

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.

Hawajachelewa bado, nawashauri wahamie CCM, watafikiriwa kupewa ubunge wa kuteuliwa na Rais au Ukuu wa Mkoa au Wilaya
 
Baada ya chama imara kususia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa walidhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma.

Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico Nyerere ,John Mrema, Kigaila na Salum Mwalimu.

Basi timu iyo iliwashawishi Wana mama wa Bawacha Kwa ahadi ya kupata viti maalumu. Bila kufikiri Kwa kina kina Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Moza Ally na Asha Madoga walihama Chadema Kwa dharau na kebehi wakijua kabisa washakuwa wabunge.

Siku ya uchaguzi, ilipotokea MO29 maCCM yalichanganyikiwa na kuwasahau hawa CHAUMMA, mwaka matokeo yanatoka CHAUMMA ata 5% ya kura za urais na wabunge hawakupata.

Now kina Catherine Ruge ubunge wamekosa, Wana aibu, masikitiko, fedhea hadi wanaona aibu kutoa kichwa kwenye mitandao ya kijamii.

Wakitazama 2030 CHAUMMA ndo itakuwa useless kabisa wanabaki na vilio mioyoni. Catherine Ruge vuneni mlichokipanda.
Ngoja labda ukuiwa wilaya, Mkoa na tu vyeo twingine!
 
Back
Top Bottom