Mwalimu alisema,'Kama jana
ingekuwa kesho,basi leo ingekuwa Ijumaa'. SWALI:Mwalimu aliongea kauli
hii katika siku ipi ya wiki?
siku ya jumapili,
Clap dem hands to Mshuza2 ,umetisha mkuu!Ingekuwa? Simple..jibu ni jumatano! Ilikua siku ya jumatano kwa maana kwamba jana ilikua Jumanne then kesho Alhamisi kwahiyo kama kama jana Jumanne ingekua Alhamisi basi leo ingekua Ijumaa! Sijui nimekushawishi mkuu?