Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,
Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,
Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.