SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 242
Vinakuwepo kwenye memory iyo iyo ila vnakuwa not readable, ila hupotea kadri unavyoweka vi2 vipya ktk iyo space
mwanzoni nilidhani ni typo....sasa, naona ni haki yangu kusema sielewi unazungumzia nini...
mwanzoni nilidhani ni typo....sasa, naona ni haki yangu kusema sielewi unazungumzia nini...
Typo ndio nini Mkuu?Mwanzoni nilidhani sijasoma vizuri,ila sasa nashawishika kusema sielewi ulitaka kumueleza nini Mzee wa "pacha".
Nimejaribu kuangalia ukaribu kati ya heruf "i" na "a" kwny keybord/keypad naona zko mbal mbali,,xax cjajua mtoa mada anatatzo gan,,mwanzoni nilidhani ni typo....sasa, naona ni haki yangu kusema sielewi unazungumzia nini...
Tumia akili uliyopewa, utaelewa tu!
Nadhani kunahaja ya makers kuzipa cm uwezo kurecycle data(recycle bin) kama ilivo kwa pc
Mkuu kifaa chako unachotumia I.e Simu,computer au Ipad haina herufi "I"?...Maana naona unaandika "Pacha" nadhani unamaanisha "Picha"....Kama ni Pacha huwezi kupata kwenye simu
Kwa Dar huwezi pata, ungekuwa mkoan ungezipata kiurahis.
Nimejaribu kuangalia ukaribu kati ya heruf "i" na "a" kwny keybord/keypad naona zko mbal mbali,,xax cjajua mtoa mada anatatzo gan,,
Nadhani hivi ndio imekaa vizuri, tunatakiwa kujenga tabia ya kuwa makini na kufanya maamuzi sahihi. Ukifuta umefuta. Ukitaka kuhifadhi weka kwenye nemory card na hizo unaweza kuwa nazo nyingi zenye capacity tofautitofauti.
Nadhani kunahaja ya makers kuzipa cm uwezo kurecycle data(recycle bin) kama ilivo kwa pc
mwanzoni nilidhani ni typo....sasa, naona ni haki yangu kusema sielewi unazungumzia nini...
Nadhani kunahaja ya makers kuzipa cm uwezo kurecycle data(recycle bin) kama ilivo kwa pc