Habari zenu wanabodi. Jukwaa hili limekuwa na msaada sana kwa mambo mablimbali. Kuna pacha nimefuta (delete) kwa bahati mbaya kwenye tablet yangu. Je Kuna uwezekano wa kuipata tena kama inavyokuwa kwenye computer? Msaada tafadhali.
uko wap mkuu
Kama umeweka backup app eg cloud9 utazipata la sivyo basi tena
Kama umeweka backup app eg cloud9 utazipata la sivyo basi tena
Kama umeweka backup app eg cloud9 utazipata la sivyo basi tena
Kwahiyo zinapotea completely??? mi mwenyewe huwa nawaza kama huyo mtoa mada
Dar mkuu
Mkuu kuna taarifa fulani nilizipata sehemu na nikaona nizipige pacha ili siku nikizihitaji nawaza kufunga tu na kuzisoma au kuprint in case. Sasa Nimezitafuta bahati mbaya ndo nahaha hapa namna ya kuzipata tena.
Mkuu kuna taarifa fulani nilizipata sehemu na nikaona nizipige pacha ili siku nikizihitaji nawaza kufunga tu na kuzisoma au kuprint in case. Sasa Nimezitafuta bahati mbaya ndo nahaha hapa namna ya kuzipata tena.
Mkuu kuna taarifa fulani nilizipata sehemu na nikaona nizipige pacha ili siku nikizihitaji nawaza kufunga tu na kuzisoma au kuprint in case. Sasa Nimezitafuta bahati mbaya ndo nahaha hapa namna ya kuzipata tena.
Kwa Dar huwezi pata, ungekuwa mkoan ungezipata kiurahis.[/QUOTE
Mkuu umenichekesha sana...kuna jamaa aliwahi kutoa uzi wa kuwaandama wa mikoani..
Kwenye recycle bin mkuu
re: pacha zinazofutwa kwenye simu zinakwenda wapic.
habari zenu wanabodi. Jukwaa hili limekuwa na msaada sana kwa mambo mablimbali. Kuna pacha nimefuta (delete) kwa bahati mbaya kwenye tablet yangu. Je kuna uwezekano wa kuipata tena kama inavyokuwa kwenye computer? Msaada tafadhali.
mkuu kuna taarifa fulani nilizipata sehemu na nikaona nizipige pacha ili siku nikizihitaji nawaza kufunga tu na kuzisoma au kuprint in case. Sasa nimezitafuta bahati mbaya ndo nahaha hapa namna ya kuzipata tena.