Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Chadema mna akili lakini mnashindwa ku2mia akili na nidham katika kusolve mambo na matokeo yake ndo kama haya mwalopoka ovyo.Hii iwe fundisho kwa wengine.
Mweshimuni rais wa nchi na tumieni busara ktk kumkosoa.
Tumeiga upuuzi wa Uingereza! Sasa kule anavaa zaidi Malkia, hawa Polisi wa Bunge la Tanzania sijui wanavaa za nini? Tunaiga mpaka upuuzi! Hovyooo! Hivi kipindi cha Baba wa Taifa walikuwa wanavaa hivi kweli?polisi wa bungeni huvaa hii kitu ya mhimbil sijui kwann???
Wasichafuke na hivi ni wageni waliobadilishwa awamu hii ya Bajeti wana usongoBungeni kuna mambo ehn, hao jamaa wamevaa groves za nini?
Wanafunzi wakike kupata mimba ni kimbelembele chao. Na huu ni moja kati ya madhaifu ya Rais wa CCM !!rais asiyejua kwa nini nchi yake ni
maskini wakat ina raslimaki kibao
huo sio udhaifu??4leni za magari
jijin dsm rais anasema eti hayo ni
maisha bora! Huo sio udhaifu??
Kumteua mgonjwa mahututi kuwa
wa wazir asiyekuwa na wizara
maalumu isiyo na ofc! Huo sio
udhaifu?? Brother mnyika we si wa
kwanza kusema kikwete ni
dhaifu.hata nyerere alishawah
kusema 95 kwamba 'hatumchagui
m2 awe rais kwa sura yake.kwa
sababu haendi kuwa rais wa mamiss
2nataka rais mchapa kazi na
muadilifu'
Kama una bifu na JK, jaribu kulinganisha notes na Godbless Lema.
, dont go to waste!
Kwa hiyo nia kumbe ni kutafuta umaarufu wa kisiasa, na si kuwatetea wananchi, Asante kwa kutuelewesha hivyo mkuu[/QUO
Ni kweli Mnyika binafsi tukio hili litamjenga kisiasa, ila kwa mapana zaidi ni kuwa litawachokonoa wananchi kujadili kauli yake na kwa njia hiyo kujiamshia hasira ya kujitosa kujikomboa wenyewe kupitia sanduku la kura kwani tayari watakuwa wanajua fika nani mchawi wao anayewakwamisha na kuwadumaza!!! Chungeni sana hasira ya wanachi waliopigika kimaisha!!
Kwa hiyo nia kumbe ni kutafuta umaarufu wa kisiasa, na si kuwatetea wananchi, Asante kwa kutuelewesha hivyo mkuu[/QUO
Ni kweli Mnyika binafsi tukio hili litamjenga kisiasa, ila kwa mapana zaidi ni kuwa litawachokonoa wananchi kujadili kauli yake na kwa njia hiyo kujiamshia hasira ya kujitosa kujikomboa wenyewe kupitia sanduku la kura kwani tayari watakuwa wanajua fika nani mchawi wao anayewakwamisha na kuwadumaza!!! Chungeni sana hasira ya wanachi waliopigika kimaisha!!
Naomba kutofautiana nawe katika hoja hii kama ifuatavyo:
Wabunge wanaeleweka kama ni professional katika uwanja wao. Tofauti na wengi ambao tunapongeza hatua ambayo Mnyika amefanya kwani haijaonyesha kitaaluma na kitaalamu hoja pamoja na kuwa na uzito kutoiwasilisha kama professional member.
Mnyika ni msomi na anajua fika namna ya kujenga hoja na kuchagua lugha ya kufkisha ujumbe, lakini kwa namna na hisia aliyokuwa nayo amepitiliza kiwango ambacho angetazamiwa kufanya. Ukisema unaenda kujisaida (restroom) na mwenzako akasema anaenda kunya au kukojoa (samahani kwa lugha hiyo) nadhani maana ni moja lakini inatoa taswira tofauti kwa atakayawasikia. Wote mnaenda kufanya kitu kilekile lakini matumizi ya lugha yamenya mtofautiane kimtazamo na kistaarabu kutokana na uwezo wa kufikiri haraka na kuchagua lugha ya kutumia.
Pamoja na kwamba walio upande wa Mnyika wamejiridhisha kwamba Mnyika kasema ukweli, lakini kwa wenye busara na hekima watakuambia Mnyika ameteleza katika kufikisha hoja yake kwa kukosa ubunifu wa kuchagua lugha sahihi ya kutumia katika bunge tukufu na kwa namna ye yote amekiuka taratibu za matumizi ya lugha inayotakiwa kutumika bungeni.
Mimi si mtu wa kufuata upepo sababu ya kile moyo ukipenda, ula ukweli uendane na ustaarabu, elimu na busara katika maisha, mahusiano na shughuli za kila siku. Kama ni shauri ya kuropoka tu kila mtu afanye hivyo nadhani tusingekuwa hapa tulipo.
Tunapaswa kuwajenga hawa watu na kujitahidi kuwakosoa wanapoteleza, isiwe kila wafanyavyo hata kikikosa hekima na busara ni kusahbikia tu kama timu ya nyumani hata kama mtu kafunga goli mpira wa miguu kwa mkono, hii imekaaje?
JK ni dhaifu na legelege sana
Walikuwa wanapokea kipaimara...Bungeni kuna mambo ehn, hao jamaa wamevaa groves za nini?
kwahiyo mnyika anasema rais wetu mdebwedo sio?