aaah ivuga umenikumbusha zenj hiyo picha yamwisho kiwengwahapo kaka ktk ile bridge unajirusha mpaka kuche,kweli zenj ninjema na atakae aje?zenj rrrrrraaahhaaaaaaah!!
Zanzibar mkuu ..ila sishangai watu wengi hatuijui nchi yetu mkuu inabidi tuanzishe kampeni za domestic tourism ...wabongo hawapendi hii kitu kwenda kumpumzika
Zanzibar mkuu ..ila sishangai watu wengi hatuijui nchi yetu mkuu inabidi tuanzishe kampeni za domestic tourism ...wabongo hawapendi hii kitu kwenda kumpumzika