picha za chato usanii mtupu

picha za chato usanii mtupu

simba wa mara

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2015
Posts
377
Reaction score
59
jana tumeona picha za mgombea huko chato kulikuwa na usanii kuwekewa picha za zaman kwnye taarifa ya habari.
 
Eleweka basi, picha zenyewe ziko wapi, mgombea yupi, Hashim Rungwe?
 
Mhu .... hebu wawekee ushahidi mkuu ingawaje sasa hivi jiandae kutemewa mapovu nimewaona wanalamba omo sasa hivi.
 
Nasikia kajikojolea jukwaani! Kazi tunayo.
 
Sio kajikojolea kajinyea audio imesambaa mji mzima

Ha ha ha , inaonekana mwili wake hauna ushirikinano na akili yake. Nasikia ilibidi ashtuliwe tu kuwa oyaa, mzee ji cheki kwanza umechafua mazingira. Vinginevyo ange panda hivyo hivyo kwenye chopa kuendelea na kampeni.
 
Hivi ni kweli jamani huyu mtu alipata haja hadharani? Jamani tuwe wakweli tusilete maneno ya kuzusha.
 
Na wakunye tuu jukwaani tumechoka sasa na hamna namna waache tu wayashushe makimba jukwaani.
 
Sitampgia kura Lowasa LAKINI kuna ishu za kumwondolea heshima km mwanadamu ni za kijinga.Hauwezi kufurahıa kuumwa kwa mtu au hata haya yanayosemwa km ni ya kwelı hakuna haja ya kuyashupalia.Nı uzuzu na upumbavu kwa watoto kumsema mzee lika ile etı kajinyea,laana itawaandama,wajınga kabisa.
 
Sio magufuli obviously. Maana tulipata video wakisema mgombea wa ukawa (2010 hakukuwa na ukawa) alifanya nini pale stendi ya chato????
 
Back
Top Bottom