Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wapi hii jamni duh
mjini hapa wewe shauri yako bibie
Tatizo baba watoto saa nyingine unanikimbia unaenda mwenywe lol
Halafu na hizo alizozivaa ni haki kweli kuzila, hiyo ni karibu ya kilo 5 kwenda juu. Huu ni uharibifu, bongo by nature watu wanakula majani, maisha yenyewe ya tabu, nyama, chicken and samaki havishikiki kwanini usiwe baniani wa hiari?
kwa nini isiwe haki madam wangu, tena wakaka wataziprnda sana hizi, jaribu kuzipiga mnada uone. watu wanapenda chummvi sembuse mboga? suala la kilo 5 nadhani angalia thamani ake na ujumbe uliokusudia. unajua hapo kawasaidia madaktari wangapi duniani kutoa ushauri kama huo, kasaidia watu wangapi kuimarisha macho yao, kinga zao za mwili na vitaminis, kuepuka vitambi nk kama utamsikiliza, ujumbe wake ni mzito na wenye thamani zaidi ya kilo 5 za mbogamboga, na kikubwa umebebwa na mwanamama. very proud!
teacher huyo mdada anaitwa mary wanjiru ni mmojawapo wa wadada wanaopiga kampeni dhidi ya ulaji nyama yaani ukatili wa wanyama.hapo anakatiza mitaa ya nairobi.wapi hii jamni duh