Picha yangu ya leo asubuhi hii hapa

Picha yangu ya leo asubuhi hii hapa

Isije kuwa chakla ya wakubwa ...
Mkuu kabanga umefika mbali huko sikutegemea kama utaweza kufika huko :smile-big::smile-big::smile-big: kwani Samaki kazi yake ni nini? kuelea baharini au kuliwa?

..na yeye ana dream za kuwa mbunge wa viti maalumu.
Akija bongo mtampa nyinyi wenyewe ubunge huyoooooooooooooooooo
 
Mzizi Mkavu
ulinishituwa uliposema picha yangu ya leo asubuhi halafu ninamuona kimwana na Mh, sasa kwani wewe ni mwanamke?
nauliza tu na samahani kama suali langu limekukwaza
 
Kama CCM ndiyo imeona inaweza kumtuma Mwigulu kuiwakilisha diaspora, basi nakishangaa chama na bora kifikie mwisho wake 2015
 
Mzizi Mkavu
ulinishituwa uliposema picha yangu ya leo asubuhi halafu ninamuona kimwana na Mh, sasa kwani wewe ni mwanamke?
nauliza tu na samahani kama suali langu limekukwaza
Mimi ni Dume la nguvu nimeona bora nitumie kiswahili hicho ili Member waje wengi kuangalia Picha iliyonivutia leo asubuhi hahahhahah usijali mbinu za kuwa vutia watu waone nilichoweka ni nini.
 
Nakubali Mzee, lakini bora ungeliandika picha iliyonivutia
Mimi ni Dume la nguvu nimeona bora nitumie kiswahili hicho ili Member waje wengi kuangalia Picha iliyonivutia leo asubuhi hahahhahah usijali mbinu za kuwa vutia watu waone nilichoweka ni nini.
 
Kumbe humu ndani wote ni chadema hakuna hata mmoja aliyepiga (like) ya nguvu????????????????????
 
Huyo ndo atakuwa pumziko la mafisadi wa CCM wakienda huko! si unaona anavyojitahidi kukaba mpaka penalt, soon watamlipa fadhila kwa kumpa ubunge wa viti maalum! wapi katiba mpya futa hiyo makitu ya viti maalum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom