Picha ya Wiki

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
17308921_1650061115300405_309140981106937406_n.jpg

simba wamemtumia jezi dogo huyu
 
Weekend iliyopita Simba ilikuwa Dodoma kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Polisi ya Dodoma kama sehemu ya kujiweka sawa na maandalizi ya michezo yao mbalimbali ikiwemo Kombe la FA watakalocheza weekend hii Arusha dhidi ya Madini FC.

Simba wakiwa Dodoma moja kati ya vitu vilivyovutia ni picha ya shabiki mtoto wa Simba ambaye aliamua kuonesha mapenzi yake kwa staa wa Simba Ibrahim Ajibu kwa kuandika jina na namba ya jezi ya mchezaji huyo katika t-shirt yake kwa pen, kitendo ambacho kilifanya wengi wampongeze.

Baada ya hapo Simba kupitia ukurasa wao wa instagram waliomba kuwa mtu anayemfahamu mtoto na wazazi wake wawajulishe, leo March 14 baada ya Simba kumpata imeripotiwa kuwa mtoto huyo anatumiwa jezi original ya Ibrahim Ajibu.
 
Back
Top Bottom