Picha ya Wassira akiwa amelala Bungeni

Picha ya Wassira akiwa amelala Bungeni

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Wakuu, nimeiona picha ya wassira akiwa amelala bungeni kwenye www.mjengwablog.com nadhani ni muhimu iwekwe hapa pia ili kazi anayomuombea sioi sumari ifahamike ni nini kule bungeni.
 
Wewe uliogopa nini kuiweka humu? Ole wake atakayenidisplay hapa!
 
View attachment 49962
Chakusinzia Bungeni huyu hapa wananchi wamemchagua akawaakilishe ili matatizo yao yapungue yeye ameenda kulala eti anampigia debe sio si atamuambukiza kulala bungeni jamani huyu msi mkubali arumeru sifa yake kubwa ni kuota vitu vyote anavyoongea ameota.
 
Haya maneno yanaendana na domo lako!!!!
Ndio, domo langu ni baya, lakini mimi ni Waziri, wewe je? Hata kiapo nilikula kwa maneno yaliyotoka kwenye domo hili hili. Naweza nikawa nimefumba macho lakini nafuatilia mijadala ya bungeni kama au zaidi ya aliyetumbua mimacho. Kwani macho yakifumba na masikio yanaziba? Acheni wivu, mimi ni waziri na Nassari atakuwa mbunge, aargh no I mean Sioi atakuwa mbunge!

 
hao ndo mawaziri wa JK ...na yeye mwenyewe si bingwa wa kulala..sijui wanakuwa wameumwa na mbung'o??
 
Bungeni kuna raha jamani, nyinyi sikieni tu.

The picture speaks for itself.
 


Huyu hapa kauchapausingizi wa jirani yake alisema alikuwa ana koroma kabisa

Anaumwa ugonjwa kwa kitaalamu unaitwa TRYPANOSOMIASIS. Trypanosomiasis is a ZONOTIC DISEASE that means it affects HUMAN as well as ANIMAL. Trypanosomiasis in HUMAN is called SLEEPING SICKNESS and in ANIMAL is called NAGANA. Since the hounorauble is from GOMBE reserved area then he must be suffering NAGANA disease.
 
Anaumwa ugonjwa kwa kitaalamu unaitwa TRYPANOSOMIASIS. Trypanosomiasis is a ZONOTIC DISEASE that means it affects HUMAN as well as ANIMAL. Trypanosomiasis in HUMAN is called SLEEPING SICKNESS and in ANIMAL is called NAGANA. Since the hounorauble is from GOMBE reserved area then he must be suffering NAGANA disease.

Nimeipenda hii! Ha ha ha!
 
Pole sana rais wangu JK ,if this is kind of ministers we have , real we Tanzanian we are in great troubles. shame up you
Ndio, domo langu ni baya, lakini mimi ni Waziri, wewe je? Hata kiapo nilikula kwa maneno yaliyotoka kwenye domo hili hili. Naweza nikawa nimefumba macho lakini nafuatilia mijadala ya bungeni kama au zaidi ya aliyetumbua mimacho. Kwani macho yakifumba na masikio yanaziba? Acheni wivu, mimi ni waziri na Nassari atakuwa mbunge, aargh no I mean Sioi atakuwa mbunge!

 
Akiamka tu anapiga makofi , kuna siku alilala huku anaendesha gari akagongwa pale mataa ya Tazara
 


Huyu hapa kauchapausingizi wa jirani yake alisema alikuwa ana koroma kabis
Huyu mtani wangu anasumbuliwa na ISIMAGILA ni neno la kilugha chetu nimempigia simu akishashindwa huko alipo aje anywe dawa. Ni aibu na sijui kwenye kampeini muda mwingi lazima asimame vinginevyo kukoroma kama kawa.
 
Back
Top Bottom