M Mbilikimo Mfupi JF-Expert Member Joined Nov 11, 2015 Posts 978 Reaction score 1,210 Jan 9, 2016 #1 Waungwana, Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu?
Waungwana, Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu?
U UDSM Alumni JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 2,555 Reaction score 1,389 Jan 9, 2016 #2 Umeangalia kama paa alivuji?
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,405 Reaction score 29,804 Jan 9, 2016 #3 zabron k said: Waungwana Miezi 4 iliyopita nilisafir kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerud nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu? Click to expand... Njoja mshana jr aje akupe maelezo ya 'kisayansi'!
zabron k said: Waungwana Miezi 4 iliyopita nilisafir kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerud nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu? Click to expand... Njoja mshana jr aje akupe maelezo ya 'kisayansi'!
Bailly5 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2015 Posts 16,495 Reaction score 35,288 Jan 9, 2016 #4 Mbona umefikiria hivyo kwanza aiseee
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,201 Reaction score 28,086 Jan 9, 2016 #5 Mizimu ya kwenu imekasirika Sana..usipokuwa makini itakumaliza haraka...
iGodmanhustler JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 609 Reaction score 343 Jan 9, 2016 #6 Mvua hizoooβ
M Mbilikimo Mfupi JF-Expert Member Joined Nov 11, 2015 Posts 978 Reaction score 1,210 Jan 9, 2016 Thread starter #7 Bwanshe56 said: Umeangalia kama paa alivuji? Click to expand... Paa halivuji mkuu
M Mbilikimo Mfupi JF-Expert Member Joined Nov 11, 2015 Posts 978 Reaction score 1,210 Jan 9, 2016 Thread starter #8 lukesam said: Mizimu ya kwenu imekasirika Sana..usipokuwa makini itakumaliza haraka... Click to expand... Hatari sasa hiyo
lukesam said: Mizimu ya kwenu imekasirika Sana..usipokuwa makini itakumaliza haraka... Click to expand... Hatari sasa hiyo
BBN Member Joined Dec 21, 2015 Posts 22 Reaction score 5 Jan 9, 2016 #9 Nyumba hyo iko maeneo yenye joto sana......so km iko kwenye frame lzm hali hyo itokee..........hata zile picha zinazohifadhiwa kwenye album huwa zinapata unyevunyevu.......!!
Nyumba hyo iko maeneo yenye joto sana......so km iko kwenye frame lzm hali hyo itokee..........hata zile picha zinazohifadhiwa kwenye album huwa zinapata unyevunyevu.......!!
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,301 Reaction score 47,303 Jan 9, 2016 #10 Mleta mada itakuwa nyumba yake imewekwa X
KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 741 Jan 9, 2016 #11 mshana jr unahitajika huku
fresh ya shamba Member Joined Dec 2, 2015 Posts 54 Reaction score 30 Jan 9, 2016 #12 Labda ilishuhudia aliyoyafanya mkeo
Designer_3434 JF-Expert Member Joined Dec 4, 2015 Posts 4,930 Reaction score 3,981 Jan 9, 2016 #13 Hilo jipu
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,201 Reaction score 28,086 Jan 9, 2016 #14 fresh ya shamba said: Labda ilishuhudia aliyoyafanya mkeo Click to expand... Unamaanisha mkewe aliingiza kidume ndaniππ
fresh ya shamba said: Labda ilishuhudia aliyoyafanya mkeo Click to expand... Unamaanisha mkewe aliingiza kidume ndaniππ
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,201 Reaction score 28,086 Jan 9, 2016 #15 Copenhagen DN said: Mleta mada itakuwa nyumba yake imewekwa X Click to expand... Unamaanisha hiyo picha ilikuwa inaangalia hiyo x hadi jasho???
Copenhagen DN said: Mleta mada itakuwa nyumba yake imewekwa X Click to expand... Unamaanisha hiyo picha ilikuwa inaangalia hiyo x hadi jasho???
N Namahochi Senior Member Joined Jan 1, 2016 Posts 138 Reaction score 102 Jan 9, 2016 #16 lukesam said: Unamaanisha hiyo picha ilikuwa inaangalia hiyo x hadi jasho??? Click to expand...
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 Jan 9, 2016 #17 zabron k said: Waungwana, Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu? Click to expand... Hapana linaweza kuwa kalio la mtu au gegedo la mtu
zabron k said: Waungwana, Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri. Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni. Utakuwa mkono wa mtu? Click to expand... Hapana linaweza kuwa kalio la mtu au gegedo la mtu
Chakochangu JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 2,668 Reaction score 2,174 Jan 9, 2016 #18 KAFA.cOm said: mshana jr unahitajika huku Click to expand... Mkuu samahani, huwa unaisoma signature yako?
KAFA.cOm said: mshana jr unahitajika huku Click to expand... Mkuu samahani, huwa unaisoma signature yako?
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,201 Reaction score 28,086 Jan 9, 2016 #19 MO11 said: Hapana linaweza kuwa kalio la mtu au gegedo la mtu Click to expand... Jibu lako na avatar yako...hahahaha
MO11 said: Hapana linaweza kuwa kalio la mtu au gegedo la mtu Click to expand... Jibu lako na avatar yako...hahahaha
KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 741 Jan 9, 2016 #20 Chakochangu said: Mkuu samahani, huwa unaisoma signature yako? Click to expand... Nimeshindwa Kabisa kui edit Sijui hata nilivyikuwa naandika nilikuwa nawaza nini..najitahidi kuibadili but nashindwa
Chakochangu said: Mkuu samahani, huwa unaisoma signature yako? Click to expand... Nimeshindwa Kabisa kui edit Sijui hata nilivyikuwa naandika nilikuwa nawaza nini..najitahidi kuibadili but nashindwa