Picha ya ufunguzi 2017; Busara za mzee Lowassa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,314
33,108
BUSARA ZA MZEE LOWASSA.jpg

Huyu Mzee ni chuma cha Pua............Strong Man
 
Huwa najiuliza tu. Isingekuwa kashfa za ufisadi huyu mzee si ajabu kwa sasa angekuwa Magogoni. Ufisadi nimeamini ni mojawapo ya dhambi mbaya kabisa duniani haijalishi kama umesingiziwa ama la. Ni kati ya zile dhambi ambazo Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukishaitenda basi itaendelea kukutafuna tu!

Kwa hali inavyoendelea naamini itafika mahali jamii itamsamehe. Tuombe uzima sote tufike 2020 tuone itakavyokuwa!
4d014102f053064667e55e5c2d54ff97.jpg
 
Huwa najiuliza tu. Isingekuwa kashfa za ufisadi huyu mzee si ajabu kwa sasa angekuwa Magogoni. Ufisadi nimeamini ni mojawapo ya dhambi mbaya kabisa duniani haijalishi kama umesingiziwa ama la. Ni kati ya zile dhambi ambazo Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukishaitenda basi itaendelea kukutafuna tu!

Kwa hali inavyoendelea naamini itafika mahali jamii itamsamehe. Tuombe uzima sote tufike 2020 tuone itakavyokuwa!
4d014102f053064667e55e5c2d54ff97.jpg
Ukimuangalia vizuri utaona ana meno mithili ya Dracula.
 
Huwa najiuliza tu. Isingekuwa kashfa za ufisadi huyu mzee si ajabu kwa sasa angekuwa Magogoni. Ufisadi nimeamini ni mojawapo ya dhambi mbaya kabisa duniani haijalishi kama umesingiziwa ama la. Ni kati ya zile dhambi ambazo Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukishaitenda basi itaendelea kukutafuna tu!

Kwa hali inavyoendelea naamini itafika mahali jamii itamsamehe. Tuombe uzima sote tufike 2020 tuone itakavyokuwa!
4d014102f053064667e55e5c2d54ff97.jpg
Hakuna kiongozi aliye msafi kwa Tanzania yetu kila kiongozi ana mapungufu yake ndio maana akaitwa binadamu.
 
Hakuna kiongozi aliye msafi kwa Tanzania yetu kila kiongozi ana mapungufu yake ndio maana akaitwa binadamu.
Katika muktadha wa kibinadamu inapaswa kuwa hivyo. Siasa hata hivyo hazina ustaarabu kiasi hicho ndo maana zikaitwa mchezo mchafu. Na wanasiasa wanalijua hili! Imagine hata hawa walivyokuwa maswahiba mpaka wakapanga kuachiana madaraka.
a66ebd2874980c8c5218396a3d77f773.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom