picha ya siku

Huku sasa ukiambiwa dont drink and drive unaelewa hata kama yameandikwa kwa herufi ndogo
 
Kumbe pazuri ivo sijui kwan sis wangu anapachukia eti anasema pachafu sijui kweli

Sista wako mtata tu si alikulapua kofi kabla hata hujamalizia ndoto yako tamu kisa uli moarn!!!!!
 
Pazuri sana halafu pamekaa kama ile nembo ya ogopa ukimwi pamekosekana rangi nyekundu tu.
 
Nchi za wenzetu hata wanaposema ni masikini
lakini kuna sehemu wameweza vizuri sana,juzi
walikuwa na hali mbaya ya uchumi ona kumbe


Miaka ya nyuma tayari walikuwa na vitu vizuri
sana ila sisi Mdomo tu kama :-


1.Kilimo Kwanza
2. Big Results Now
3.Mradi wa Gesi

Lakini yote hiyo ni porojo hakuna lolote
Tumeshindwa kutokomeza Mabusha,Matendo!
 
Ukitaka kujua ni pachafu nenda katembelee kuna sehemu inaitwa Matonge huko ni sehemu wanaishi Wazairwaa na mambo yote utayapata huko
Kumbe pazuri ivo sijui kwan sis wangu anapachukia eti anasema pachafu sijui kweli
 
Wenzetu wanafanya maendeleo kwetu Miccm inaturudisha nyuma na ufujaji wa raslimali zetu.
 
Nilidhani ni pale upareni. COPY: kwa wapare wote.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…